Ikangaa apigiwa debe ‘kumrithi’ Malinzi uenyekiti wa BMT
Mwanariadha wa zamani , Juma Ikangaa anatajwa kurithi nafasi ya uenyekiti  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya Dioniz Malinzi kumaliza muda wake wa miaka mitatu juzi Jumapili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Viera apigiwa upatu kumrithi Pellegrini
11 years ago
Mwananchi03 Sep
Malinzi: Inatosha kuiongoza BMT
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Malinzi kuendelea kuula BMT
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
11 years ago
Mwananchi18 Aug
Ikangaa, Shahanga waishangaa RT
11 years ago
Mwananchi26 Jun
RIADHA: Ikangaa awalipua wanariadha
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Ikangaa: Wanariadha wamuenzi Theresia
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Magufuli apigiwa kampeni na Mrema

Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Ndugu Augustino Lyatonga Mrema mara baada ya kukutana njia panda ya Himo.

Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Ndugu Augustino Lyatonga Mrema akizungumza mbele ya mgombea wa urais kupitia CCM na kuwataka wananchi wa Vunjo kumpigia kura mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwani ni rafiki wa kweli kwa maendeleo ya...
11 years ago
Habarileo03 Oct
Samia apigiwa chapuo Umakamu wa Rais
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba jana walisifu uongozi uliooneshwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu na kupendekeza ikiwezekana katika hiyo dhana ya uwakilishi sawa maarufu 50/50, ateuliwe kuwa Mgombea Mwenza wa mgombea urais katika uchaguzi mkuu ujao.