Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi: Inatosha kuiongoza BMT

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi amesema kipindi cha miaka mmitatu alichoongoza chombo hicho kinatosha na hawezi kuendelea hata kama Serikali itamwongezea muda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Malinzi kuendelea kuula BMT

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema Dioniz Malinzi ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

 

10 years ago

Mwananchi

Ikangaa apigiwa debe ‘kumrithi’ Malinzi uenyekiti wa BMT

Mwanariadha wa zamani , Juma Ikangaa anatajwa kurithi nafasi ya uenyekiti  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya Dioniz Malinzi kumaliza muda wake wa miaka mitatu juzi Jumapili.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete: Miaka 10 inatosha

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi, inatosha kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake. Aidha, Rais Kikwete amewataka watumishi wa Ikulu, kumsaidia Rais ajaye hata kwa ari na nguvu zaidi kuliko hata walimvyosaidia yeye katika miaka yake yote 10 ya uongozi wake.

 

11 years ago

GPL

Manji abaki kuiongoza Yanga

Manji akiongoza mkutano wa mabadiliko ya katiba yao. Na Wilbert Molandi
HATIMAYE Mwenyekiti wa Yanga,…

 

11 years ago

Mwananchi

‘Miaka 50 ya Muungano inatosha kufanya mabadiliko’

Arusha. Wakati Muungano unatimiza miaka 50 mwaka huu, licha ya kuwa na mafanikio kadhaa una changamoto nyingi ambazo zimeufanya uonekane kuwa unapitia katika kipindi kigumu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi sio pesa, roho inatosha

Mapenzi yamtoa msichana wa kihindi katika familia ya kitajiri na kumpeleka kijijini kwa kijana mwafrika Kenya

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka mitatu ya BMT ahadi haijatimizwa

Imesalia miezi sita ili uongozi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) utimize miaka mitatu iliyopewa kusimamia uendeshaji wa shughuli za michezo nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Cheka aijia juu BMT

Cheka na Miyeyusho wamejiandaa kwa kutumia fedha zao, walitarajia kurudishiwa baada ya pambano.

 

10 years ago

Mwananchi

Waungwana, hivi BMT ipo au haipo?

Baraza la Michezo la Taifa (BMT), ni mojawapo ya vyombo vya juu vya Serikali katika kushughulikia masuala mbalimbali ya michezo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani