Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji abaki kuiongoza Yanga

Manji akiongoza mkutano wa mabadiliko ya katiba yao. Na Wilbert Molandi
HATIMAYE Mwenyekiti wa Yanga,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Manji ajitoa Yanga SC

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji. Na Hans Mloli
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ametangaza rasmi kutowania tena nafasi ya uenyekiti kwenye uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaotangazwa baadaye mwakani. Manji alichukua wadhifa huo mwaka jana baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa Mwenyekiti, Lloyd Nchunga, aliyekuwa amebakiza miaka miwili ya uongozi wake klabuni hapo. Manji ambaye pia ni mfadhili wa klabu hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji aibuka Yanga

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji awatega wakorofi Yanga

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...

 

10 years ago

Mwananchi

Tigana: Manji tatizo Yanga

Mchezaji wa zamani wa Yanga, Ally Yusuph ‘Tigana’, amesema Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji (pichani) ‘anaivuruga’ klabu hiyo.

 

11 years ago

GPL

Manji amuokoa Kaseja Yanga

Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya uongozi wa Yanga juzi Jumanne, kuweka wazi majina ya wachezaji 11 uliowatema, imefahamika kuwa Juma Kaseja aliokolewa na mwenyekiti wa timu hiyo, Yusuf Manji. Mwenyekiti wa timu ya Yanga SC, Yusuf Manji. Imekuwa ikielezwa kuwa Kaseja hatakiwi kwenye kikosi cha Yanga kutokana na kufanya vibaya kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Awali,… ...

 

11 years ago

GPL

Manji awastopisha Waghana Yanga SC

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji. Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Yanga ulio chini ya mwenyekiti Yusuph Manji, umewazuia wachezaji wake wa kimataifa raia wa Ghana waliotarajiwa kuwasili nchini Jumamosi iliyopita, ikihofia watanenepeana kutokana na timu hiyo kutofanya mazoezi kwa sasa. Wachezaji hao wanasubiriwa kutua Jangwani kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Yanga kisha wasajiliwe. Walipendekezwa na kocha aliyemaliza muda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Manji asema basi Yanga

MWENYEKITI wa Yanga ya jijini Dar es Salaam, Yusuph Manji, ametangaza kutowania tena uenyekiti wa klabu hiyo katika uchaguzi mkuu ujao ili kutoa nafasi kwa wanachama wengine wapate fursa ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Manji kutogombea uenyekiti Yanga

Wakati Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji akitangaza kutokugombea tena nafasi hiyo, Katibu Mkuu wa Yanga, Laurance Mwalusako amefungashiwa virago ndani ya klabu hiyo na nafasi yake sasa kuchukuliwa na Benno Njovu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani