‘Miaka 50 ya Muungano inatosha kufanya mabadiliko’
Arusha. Wakati Muungano unatimiza miaka 50 mwaka huu, licha ya kuwa na mafanikio kadhaa una changamoto nyingi ambazo zimeufanya uonekane kuwa unapitia katika kipindi kigumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Oct
Kikwete: Miaka 10 inatosha
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi, inatosha kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake. Aidha, Rais Kikwete amewataka watumishi wa Ikulu, kumsaidia Rais ajaye hata kwa ari na nguvu zaidi kuliko hata walimvyosaidia yeye katika miaka yake yote 10 ya uongozi wake.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ed0WVEknreM/ViTAewHoabI/AAAAAAAIA3I/JYl9i41w6-o/s72-c/New%2BPicture.png)
MIAKA 10 INATOSHA KWA YEYOTE KUTUMIKIA URAIS — RAIS KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ed0WVEknreM/ViTAewHoabI/AAAAAAAIA3I/JYl9i41w6-o/s1600/New%2BPicture.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi inatosha kabisa kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake.
Aidha, Rais...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Sep
Wtz tukataee kutishwa juu ya mamuzi yetu,miaka 52 ya utawala wa ccm inatosha .
The post Wtz tukataee kutishwa juu ya mamuzi yetu,miaka 52 ya utawala wa ccm inatosha . appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
BBCSwahili10 May
Je Muungano TZ unahitaji mabadiliko?
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Uturuki kufanya mabadiliko ya mawaziri
11 years ago
Michuzi19 Mar
TASWA KUFANYA MABADILIKO MAKUBWA TUZO ZA WANAMICHEZO BORA TANZANIA
KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) iliyokutana jijini Dar es Salaam wiki iliyopita ilikubaliana kufanya mabadiliko makubwa katika Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa kila mwaka na TASWA. Kikao kilijiridhisha kuwa tuzo za TASWA zina heshima kubwa na wanamichezo hapa nchini wanazithamini na kuzitegemea kuliko tuzo za aina nyingine zozote. Lakini kikao kilikubaliana kuwa pamoja na hayo bado kuna changamoto mbalimbali kuhusiana...
9 years ago
Bongo517 Sep
Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-20.jpg)
ZUNGU AMEWATAKA WATAALAMU KUFANYA TATHMINI YA MAZINGIRA KUJUA MADHARA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s640/1-20.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akitoa maelekezo alipotembelea eneo la bahari kusikiliza na kutatua mgogoro uliotokana na changamoto za kimazingira kati ya wamiliki wa hoteli ya Wellworth na White Sands jijini Dar es Salaam wakituhimiana kujenga ukuta unasababisha mmonyoko wa udongo na...
11 years ago
GPLMIAKA 50 YA MUUNGANO YAFANA