Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Miaka 50 ya Muungano inatosha kufanya mabadiliko’

Arusha. Wakati Muungano unatimiza miaka 50 mwaka huu, licha ya kuwa na mafanikio kadhaa una changamoto nyingi ambazo zimeufanya uonekane kuwa unapitia katika kipindi kigumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kikwete: Miaka 10 inatosha

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi, inatosha kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake. Aidha, Rais Kikwete amewataka watumishi wa Ikulu, kumsaidia Rais ajaye hata kwa ari na nguvu zaidi kuliko hata walimvyosaidia yeye katika miaka yake yote 10 ya uongozi wake.

 

9 years ago

Michuzi

MIAKA 10 INATOSHA KWA YEYOTE KUTUMIKIA URAIS — RAIS KIKWETE

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMiaka 10 inatosha kwa yeyote kutumikia Urais – Rais Kikwete

·        Awataka watumishi wa Ikulu kumsaidia Rais ajaye kwa ari na nguvu zaidi kuliko walivyomsaidia yeye.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa miaka 10 ya uongozi inatosha kabisa kwa mkuu wa nchi kufanya mambo mengi na kuwa hahitaji muda zaidi kuweza kumaliza ajenda yake.


Aidha, Rais...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wtz tukataee kutishwa juu ya mamuzi yetu,miaka 52 ya utawala wa ccm inatosha .

The post Wtz tukataee kutishwa juu ya mamuzi yetu,miaka 52 ya utawala wa ccm inatosha . appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Muungano TZ unahitaji mabadiliko?

Sherehe za mwaka huu pia zilifanyika wakati Tanzania imo katika mchakato wa kupata katiba mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uturuki kufanya mabadiliko ya mawaziri

Waziri mkuu wa Uturuk Recep Tayyip Erdogan ametangaza kufanyika mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri nchini humo

 

11 years ago

Michuzi

TASWA KUFANYA MABADILIKO MAKUBWA TUZO ZA WANAMICHEZO BORA TANZANIA


KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) iliyokutana jijini Dar es Salaam wiki iliyopita ilikubaliana kufanya mabadiliko makubwa katika Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa kila mwaka na TASWA.   Kikao kilijiridhisha kuwa tuzo za TASWA zina heshima kubwa na wanamichezo hapa nchini wanazithamini na kuzitegemea kuliko tuzo za aina nyingine zozote.   Lakini kikao kilikubaliana kuwa pamoja na hayo bado kuna changamoto mbalimbali kuhusiana...

 

9 years ago

Bongo5

Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu

Viongozi wazuri huweza kushughulikia mabadiliko vizuri, iwe kwenye ngazi ya kisiasa, kijamii na hata kibiashara. Rais Jonathan anaweza akawa mtu wa kuigwa kwenye siasa za Nigeria kitu ambacho mataifa mengi ya Afrika wanashindwa kufanya na hata yale ya Mashariki ya Kati. Kuna viongozi wao wanadhani wao ndio kila kitu au miungu wadogo lakini ukweli wa […]

 

5 years ago

Michuzi

ZUNGU AMEWATAKA WATAALAMU KUFANYA TATHMINI YA MAZINGIRA KUJUA MADHARA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akitoa maelekezo alipotembelea eneo la bahari kusikiliza na kutatua mgogoro uliotokana na changamoto za kimazingira kati ya wamiliki wa hoteli ya Wellworth na White Sands jijini Dar es Salaam wakituhimiana kujenga ukuta unasababisha mmonyoko wa udongo na...

 

11 years ago

GPL

MIAKA 50 YA MUUNGANO YAFANA

Doria ya farasi wa polisi wakikatisha katika Uwanja wa Uhuru  leo  kuhakikisha usalama. Magari  mbalimbali kutoka  idara  tofauti  serikalini yakiwa  yamepaki  katika  Uwanja wa  Uhuru. Hao ni askari wa paredi …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani