ZUNGU AMEWATAKA WATAALAMU KUFANYA TATHMINI YA MAZINGIRA KUJUA MADHARA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-20.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akitoa maelekezo alipotembelea eneo la bahari kusikiliza na kutatua mgogoro uliotokana na changamoto za kimazingira kati ya wamiliki wa hoteli ya Wellworth na White Sands jijini Dar es Salaam wakituhimiana kujenga ukuta unasababisha mmonyoko wa udongo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avBXUBeVUoo/VXqgdqvdtgI/AAAAAAAHe4E/zr_qDLlFgtY/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
ARUMERU WAPATA MAFUNZO YA KUKABILI MAAFA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-avBXUBeVUoo/VXqgdqvdtgI/AAAAAAAHe4E/zr_qDLlFgtY/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9BSe6kyzm8I/VXqgdkk9p7I/AAAAAAAHe4M/w6Dwihi9k2s/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA WASHIRIKIANA NA FORUMCC KUANZISHA MFUKO WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI.
Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Ilala, Abdon Mapunda anasema baada ya kukamilisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya wadau wa mazingira, mfuko huo utaanza mara moja kabla ya mwaka 2015 kumalizika
Wakati Manispaa ya Ilala ikiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Makala ya madhara yatokanayo na matumizi ya Tumbaku
Ni Tumbaku ambayo imeshakaguliwa na wataalamu wa kilimo kutoka Bodi ya Tumbaku Tanzania ikikaguliwa na mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa soko la Tumbaku kwa kuanza kununuliwa na makampuni yanayonunua zao hilo.
Na Jumbe Ismailly, Singida
TUMBAKU ni zao pekee lenye madhara mengi ya kiafya kwa wakulima na wateja wake ambao nusu yao hupoteza maisha duniani kila baada ya sekunde nane,ambapo mtu hufariki kutokana na matumizi ya tumbaku.
Watu wanaotumia tumbaku katika umri mdogo vile vile...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...