Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE),kwa kushirikiana na Baraza la Usimamizi wa Mazingira,na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa(UNEP),wameandaa semina kwa ajili ya wajumbe wa chama hicho mjini Dodoma,jumamosi tarehe 14 Juni 2014 na jumapili tarehe 15 Juni 2014 kuhusu Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika Maendeleo ya Nchi.
Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais,Prof. Mark Mwandosya akitoa mada Kuhusu Changamoto za Mazingira ya Bonde la Ziwa Victoria na Bonde la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) yanavyoleta wimbi la magonjwa na wadudu kwenye zao la mahindi
Mkuu wa mradi wa utafiti Dk. Paul-Andre Calatayud, kutoka IRD/icipe, (kulia) akiwa tolea maelezo juu ya mdudu anayeharibu zao la mahindi, stem borer (Bungu/viwavi/funza) kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) katika eneo la kijiji cha Kipuzi kwenye Kaunti ya Taita Taveta, Mombasa nchini Kenya.Kushoto kwake ni Joel ambaye ni mwenye shamba hilo lililo katika utafiti huo.
Na Andrew Chale, aliyekuwa Mombasa, Kenya
Imefahamika kuwa mimea mingi hasa mazao ya chakula inaandamwa na magonjwa ya...
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
TABIANCHI (CLIMATE CHANGE):Yaweka Hifadhi za Tanzania Hatarini kutoweka
Mwanahabari na blogger wa mtandao wa modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katika geti kuu la kuingilia katika ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Udzungwa zilizopo eneo la Mang’ula, Wilaya ya Kilombero, Mkoani Morogoro, Tanzania. Alipokuwa katika habari za Utafiti jinsi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri mbuga na hifadhi za Taifa nchini (How Climate Change Effect The National Parks in Tanznia) hivi karibuni (Picha na modewjiblog).
Na Andrew...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi yafanyika singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mfgKawKwHhk/VJMQsIAZtoI/AAAAAAAG4RA/9aaa7VJd-A8/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
GPLMKUTANO WA MWAKA WA WADAU WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI WAFANYIKA JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA WASHIRIKIANA NA FORUMCC KUANZISHA MFUKO WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI.
Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Ilala, Abdon Mapunda anasema baada ya kukamilisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya wadau wa mazingira, mfuko huo utaanza mara moja kabla ya mwaka 2015 kumalizika
Wakati Manispaa ya Ilala ikiwa...
10 years ago
MichuziMkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-20.jpg)
ZUNGU AMEWATAKA WATAALAMU KUFANYA TATHMINI YA MAZINGIRA KUJUA MADHARA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s640/1-20.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akitoa maelekezo alipotembelea eneo la bahari kusikiliza na kutatua mgogoro uliotokana na changamoto za kimazingira kati ya wamiliki wa hoteli ya Wellworth na White Sands jijini Dar es Salaam wakituhimiana kujenga ukuta unasababisha mmonyoko wa udongo na...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mafunzo ya uwezeshaji kuhusu mabadiliko ya Tabianchi na athari zake yafanyika jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jiZC_HRXRYk/U_8VPHLTTuI/AAAAAAAGKv0/0qQwqP-u7Jc/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1vh1Srn0sKE/U_8VPDptrWI/AAAAAAAGKvw/1BT72dm6tv4/s1600/unnamed%2B(41).jpg)