semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi yafanyika singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Mkurugenzi wa kituo cha mafunzo cha mabadiliko ya tabianchi cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CCCS), Prof. Pius Yanda akifungua semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi inayoshirikisha wajumbe kutoka maeneo kame inayofanyika mjini Singida.
Mhadhiri na mtafiti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Emma Liwenga akitoa mada kuhusu maenedelo ya mradi wa mazingira kwenye maeneo kame unaonedeshwa na kituo cha mabadiliko ya tabianchi cha Chuo Kikuu cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mafunzo ya uwezeshaji kuhusu mabadiliko ya Tabianchi na athari zake yafanyika jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jiZC_HRXRYk/U_8VPHLTTuI/AAAAAAAGKv0/0qQwqP-u7Jc/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1vh1Srn0sKE/U_8VPDptrWI/AAAAAAAGKvw/1BT72dm6tv4/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 May
Mafuriko Dar es Salaam ni ushahidi wa athari za mabadiliko ya tabianchi
Hali ya mafuriko kama inavyoonekana eneo la Jangwani katika kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s72-c/MAFURIKO.jpg)
FORUMCC: MAFURIKO DAR ES SALAAM NI USHAHIDI WA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s640/MAFURIKO.jpg)
Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kupoteza maisha mpaka sasa kutokana mafururiko hayo ambayo yameibua hisia na maswali mengi kutoka kwa...
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c3YEiyUxKH4/U57TGmgSAxI/AAAAAAAFq-8/txy3VFPXqsM/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
CloudsFM03 Oct
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ZASermCGBss/VC6JYLu5LPI/AAAAAAACsH0/Nj1IpVL3Um0/s1600/1.jpg)
SEMINA YA FURSA 2014 YAFANYIKA MJINI SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Maaendeleo hayatapatikana bila kutatua changamoto za mabadiliko ya tabianchi-Jean-Pierre Poncet
Mwakilishi wa Ufaransa katika UNESCO, Jean-Pierre Poncet akifafanua jambo kutoka kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano maalum uliofantika leo makao makuu ya UNESCO, Paris.
Na Andrew Chale, modewjiblog- Paris
Mwakilishi wa Ufaransa katika UNESCO, Jean-Pierre Poncet amesema kuwa, Maaendeleo hayatapatikana bila kutatua changamoto za mabariko ya tabianchi hali ambayo inazikumba nchi mbalimbaali duniani ikiemo Tanzania na Afrika Mashariki.
Mwakilishi huyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ew9lsJazTC4/Xm_dvnO7KqI/AAAAAAALkAY/JswAr-Zvo78Qi_qGzWBrAYoNgDAPj8w9QCLcBGAsYHQ/s72-c/52190608_303.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.
Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi na uwezo wa kuripoti...