Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
‘Ukosefu mipango huchangia mabadiliko tabianchi’
MKURUGENZI wa Shirika la Maendeleo la Mazombe Mahenge (MMADEA), Raphael Mtitu, amebainisha kuwa ukosefu wa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji ni kikwazo katika utekelezaji wa shughuli za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ew9lsJazTC4/Xm_dvnO7KqI/AAAAAAALkAY/JswAr-Zvo78Qi_qGzWBrAYoNgDAPj8w9QCLcBGAsYHQ/s72-c/52190608_303.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAUNGANA WILAYANI ILALA KWA AJILI YA KUJENGA NGUVU YA PAMOJA ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
KUENDELEA kukithiri kwa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi wilayani Ilala jijini Dar es Salaam , asasi mbalimbali za kiraia wilayani humo zimeungana kwa ajili ya kujenga nguvu ya pamoja kuhakikisha wanakabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia yanchi.
Miongoni mwa nguvu wanayotaka kujenga katika wilaya hiyo ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa wa kutosha kwa jamii kuhusu mabadiliko ya tabianchi ambapo watapata nafasi na uwezo wa kuripoti...
10 years ago
Dewji Blog18 May
Mafuriko Dar es Salaam ni ushahidi wa athari za mabadiliko ya tabianchi
Hali ya mafuriko kama inavyoonekana eneo la Jangwani katika kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s72-c/MAFURIKO.jpg)
FORUMCC: MAFURIKO DAR ES SALAAM NI USHAHIDI WA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pfjuhfBHFo/VVnXOuABIXI/AAAAAAAAGjc/DZcwW1a5acc/s640/MAFURIKO.jpg)
Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kupoteza maisha mpaka sasa kutokana mafururiko hayo ambayo yameibua hisia na maswali mengi kutoka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
semina ya kikanda ya athari na changamoto zitokakanazo na mabadiliko ya tabianchi yafanyika singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-YszfEGlG52A/VJMQq8WrB5I/AAAAAAAG4Q4/YicpIEvn42Q/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mfgKawKwHhk/VJMQsIAZtoI/AAAAAAAG4RA/9aaa7VJd-A8/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mafunzo ya uwezeshaji kuhusu mabadiliko ya Tabianchi na athari zake yafanyika jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lvpidhe75_M/U_8VPKltNnI/AAAAAAAGKvs/NpSG5LGhvNE/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jiZC_HRXRYk/U_8VPHLTTuI/AAAAAAAGKv0/0qQwqP-u7Jc/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1vh1Srn0sKE/U_8VPDptrWI/AAAAAAAGKvw/1BT72dm6tv4/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DDzVCW2ncz8/UwHlmJ7vTkI/AAAAAAAFNkE/7he438UyTOg/s72-c/New+Picture.png)
Tanzania kushirikiana na ufaransa katika masuala ya mabadiliko ya Tabianchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDzVCW2ncz8/UwHlmJ7vTkI/AAAAAAAFNkE/7he438UyTOg/s1600/New+Picture.png)
11 years ago
MichuziTanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Ripoti Maalum: Mabadiliko ya tabianchi yaathiri visiwa vya Mafia nchini Tanzania
Moja ya eneo lililoaribika kutokana na hali ya mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) katika fukwe ya Kilindoni, katika Kisiwa cha Mafia, Mkoani Pwani, nchini Tanzania. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Afisa Mazingira wa Wilaya ya Mafia, Bw. Gideon Zakayo
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[MAFIA-ISLAND] Kisiwa cha Mafia kijografia kipo karibu na mlango wa Mto Rufiji kusini mwa Tanzania.
Hata hivyo, Kisiwa hichi ambacho ni Wilaya moja wapo ya Mkoa wa Pwani inakabiriwa kwa kiwango...