Tanzania kushirikiana na ufaransa katika masuala ya mabadiliko ya Tabianchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDzVCW2ncz8/UwHlmJ7vTkI/AAAAAAAFNkE/7he438UyTOg/s72-c/New+Picture.png)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Mheshimiwa Dr Bilinith Mahenge (wa kwanza kushoto)akizungumza na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Bwana Marcel Escure (pili kushoto), jinsi Tanzania itakavyoweza kushirikiana na Ufaransa katika kukabiliana na masuala ya mabadliko ya Tabianchi na watakavyofanyakazi kwa pamoja. Wa pili kulia ni Msaidizi wa Balozi wa Ufaransa Bwana Frangois Leonardi na ( wa kwanza kulia) ni Mkurungenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira Richard...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s72-c/1-16.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UFARANSA KATIKA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s640/1-16.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-12.jpg)
11 years ago
MichuziWADAU WAKUTANA LEO KUJADILI UTAYARI WA TANZANIA KATIKA KUPOKEA NA KUTUMIA FEDHA ZA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Kongamano la Mabadiliko ya Tabianchi lafanyika katika Kijiji cha Makumbusho, DAR
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.
9 years ago
MichuziKONGAMANO LA MABADILIKO YA TABIANCHI LAFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO,JIJINI DAR
Akizungumza Afisa Miradi Msaidizi wa Shirika la Forum CC,Jonathan Sawaya alisema asasi hizo zimeona ni vema kuwakilisha sauti za wakulima kwa serikali katika kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.
Alisema asilimia kubwa ya wakulima wengi...
9 years ago
MichuziVIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...
9 years ago
StarTV12 Nov
 Tanzania yatishiwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa ukosefu wa bajeti.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoendelea duniani inayokabiliwa na athari kubwa zinazosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani, huku ikiwa haina bajeti mahususi ya kukabiliana na tishio hilo, hatua inayopelekea athari zake sasa kuanza kuonekana dhahiri.
Pamoja na kuwepo kwa fungu dogo la fedha zinazotolewa na Serikali za kukabiliana na athari hizo, bado kuna tatizo la mfumo duni wa ufuatiliaji, hali inayowafaya wadau kuitaka Serikali kulitazama upya suala hilo la bajeti.
Madhara...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...
11 years ago
MichuziTanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani