Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania
AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.
Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.
Raia Tanzania: Kwa faida ya...
10 years ago
Dewji Blog03 Mar
MCT yaahidi kushirikiana na chama cha mablogger Tanzania (TBN)
Baadhi ya bloggers wakipiga picha ya ukumbusho na mgeni rasmi Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mkajanga (wa tano kulia) katika hafla ya kihistoria ya TBN iliyokutanisha bloggers kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na Visiwani.
![Mkongwe kwa maswala ya kublog hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wageni waalikwa juu ya kukutana kwao kwenye hafla hilo iliyofanyika juzi Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0085.jpg)
Mkongwe kwa maswala ya kublog hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wageni waalikwa juu ya kukutana kwao kwenye hafla hilo iliyofanyika juzi Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam.
![Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa ambao ndio walikuwa wadhamini wakuu wa hafla ya TBN, akizungumza machache katika hafla hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0070.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-V3yTXcl0SQ4/Xp8XooEZfdI/AAAAAAALnv4/TdO8Ouf8WCUV3LkofcAJcAgJScSXQuKAgCLcBGAsYHQ/s72-c/90456ca51a0b84befec7b94cdd39a9d3.jpg)
UFARANSA YAAHIDI KUISAIDIA TANZANIA, AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA CORONA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
UFARANSA imesema kuwa imeadhimia zimia kuisaidia Afrika na Tanzania katika mapambana na maambukizi ya Covid-19 huku ikisisitiza kuwa imeweka nguvu zaidi kwenye ambazo ziko hatarini zaidi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba Aprili 8 mwaka huu kupitia Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron ilitangaza kutoa msaada wa Sh.Euro bilioni 1.2 ili Kupambana na maambukizi ya Covid-19 katika Bara la Afrika.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Kitengo Cha Mawasiliano cha ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V3yTXcl0SQ4/Xp8XooEZfdI/AAAAAAALnv4/TdO8Ouf8WCUV3LkofcAJcAgJScSXQuKAgCLcBGAsYHQ/s72-c/90456ca51a0b84befec7b94cdd39a9d3.jpg)
UFARANSA YAAHIDI KUISAIDIA TANZANIA, AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA CORONA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
UFARANSA imesema kuwa imeadhimia zimia kuisaidia Afrika na Tanzania katika mapambana na maambukizi ya Covid-19 huku ikisisitiza kuwa imeweka nguvu zaidi kwenye ambazo ziko hatarini zaidi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba Aprili 8 mwaka huu kupitia Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron ilitangaza kutoa msaada wa Sh.Euro bilioni 1.2 ili Kupambana na maambukizi ya Covid-19 katika Bara la Afrika.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Kitengo Cha Mawasiliano cha ...
11 years ago
Dewji Blog21 May
Japan yaahidi kuendelea kuchangia Bajeti ya Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na OMR).
Mwandishi Maalum, Tokyo
Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni mshirika mkubwa wa maendeleo na kwamba ni nchi yenye kutia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6-17-768x513.jpg)
Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s640/6-17-768x513.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aXNdB63RUvQ/Xm0kkv0ReNI/AAAAAAAEGRo/dPcQ4VZgekQ545XXAmGkMzEiPCPpSzzzQCLcBGAsYHQ/s640/1-1-5-768x513.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s72-c/1-16.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UFARANSA KATIKA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NDHXJ8gmeaE/XmDz14bsRhI/AAAAAAALhM0/V8YhOkFpQpkOH3Mz__aDTpwlcDdesR2eACLcBGAsYHQ/s640/1-16.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-14.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-12.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-QxRAPTVICTI/VCqwWh5QAXI/AAAAAAAGmuo/tyKVZ3zJjmE/s1600/GIZ%2B-%2B1%281%29.jpg)
TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA GIZ
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tanzania, Canada kuendelea kushirikiana
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Canada ili kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya gesi asilia, madini na utalii nchini. Profesa Muhongo...