Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania

Balozi wa Ufaransa nchini, Melika Berak BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania

AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.

Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.

Raia Tanzania: Kwa faida ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

MCT yaahidi kushirikiana na chama cha mablogger Tanzania (TBN)

DSC_0184

Baadhi ya bloggers wakipiga picha ya ukumbusho na mgeni rasmi Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mkajanga (wa tano kulia) katika hafla ya kihistoria ya TBN iliyokutanisha bloggers kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na Visiwani.

Mkongwe kwa maswala ya kublog hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wageni waalikwa juu ya kukutana kwao kwenye hafla hilo iliyofanyika juzi Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam.

Mkongwe kwa maswala ya kublog hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wageni waalikwa juu ya kukutana kwao kwenye hafla hilo iliyofanyika juzi Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa ambao ndio walikuwa wadhamini wakuu wa hafla ya TBN, akizungumza machache katika hafla hiyo.

 

5 years ago

CCM Blog

UFARANSA YAAHIDI KUISAIDIA TANZANIA, AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA CORONA


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

UFARANSA imesema kuwa  imeadhimia zimia kuisaidia Afrika na Tanzania katika mapambana na maambukizi ya Covid-19 huku ikisisitiza kuwa imeweka nguvu zaidi kwenye ambazo ziko hatarini zaidi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba Aprili 8 mwaka huu kupitia Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron ilitangaza kutoa msaada wa Sh.Euro bilioni 1.2 ili Kupambana na maambukizi ya Covid-19 katika Bara la Afrika.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Kitengo Cha Mawasiliano cha ...

 

5 years ago

Michuzi

UFARANSA YAAHIDI KUISAIDIA TANZANIA, AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA CORONA


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

UFARANSA imesema kuwa  imeadhimia zimia kuisaidia Afrika na Tanzania katika mapambana na maambukizi ya Covid-19 huku ikisisitiza kuwa imeweka nguvu zaidi kwenye ambazo ziko hatarini zaidi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba Aprili 8 mwaka huu kupitia Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron ilitangaza kutoa msaada wa Sh.Euro bilioni 1.2 ili Kupambana na maambukizi ya Covid-19 katika Bara la Afrika.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Kitengo Cha Mawasiliano cha ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Japan yaahidi kuendelea kuchangia Bajeti ya Tanzania

001

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na OMR).

Mwandishi Maalum, Tokyo

Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni mshirika mkubwa wa maendeleo na kwamba ni nchi yenye kutia...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini

Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia (watatu) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Kimarekani 5000 kwa kikundi cha Kuku Kalenda App.Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia akizungumza na wageni waalikwa kwenye kufunga maadhimisho ya wiki ya Ubunifu nchini (Innovation Week 2020) ambayo yalifanyika  kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dar Es Salaam. Katika maadhimisho hayo yenye kauli mbiu “Buni kwa Tija”...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UFARANSA KATIKA MAZINGIRA


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akisalimiana na Maseneta kutoka Ufaransa waliomtembelea Ofisini kwake Luthuli katika jiji la Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiskiliza kwa makini wakati alipokutana na Maseneta kutoka Ufaransa waliotembelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Kiongozi wa Maseneta hao Senator Hervé Maurey. Sehemu ya...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA GIZ

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akitoa tamko kuhusu Siku ya Soko la Afya iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika la GIZ , itakayofanyika Oktoba 2 katika ukumbi wa Diammond Jubelee jijini Dar es salaam.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuendelea kushirikiana

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Canada ili kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya gesi asilia, madini na utalii nchini. Profesa Muhongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani