Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6-17-768x513.jpg)
Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia (watatu) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Kimarekani 5000 kwa kikundi cha Kuku Kalenda App.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia akizungumza na wageni waalikwa kwenye kufunga maadhimisho ya wiki ya Ubunifu nchini (Innovation Week 2020) ambayo yalifanyika kwenye ukumbi wa LAPF jijini Dar Es Salaam. Katika maadhimisho hayo yenye kauli mbiu “Buni kwa Tija”...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.
11 years ago
Dewji Blog21 May
Japan yaahidi kuendelea kuchangia Bajeti ya Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na OMR).
Mwandishi Maalum, Tokyo
Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni mshirika mkubwa wa maendeleo na kwamba ni nchi yenye kutia...
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
Watanzania wahaswa kuendelea kusaidia sekta ya Michezo nchini
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na wadau wa michezo ya Ngumina na Karate wakati wa hafla ya kukabidhiwa msaada wa Ulingo wa Ngumi wa Kimataifa pamoja na hundi yenye thamani ya shilingi milioni kumi kwa ajili ya kusaidia mchezo wa Karate kutoka kwa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya Zantel Tanzania leo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Zantel Pratap Ghose.
Ulingo wa kisasa kwa ajili ya Mchezo wa Ngumi...
10 years ago
Michuzi21 May
UNESCO YAAHIDI KUSAIDIA TANZANIA KUKABILI DHULUMA DHIDI YA WANAOISHI NA ALBINISM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GutZeHmFpMul2JVAXVOIc9vA-OsVrVi-RAux-YVh2c0uWDZCx4TUhYDH5zN5lxl-9VZJnYl44xUEqvOlN66RqU*nguBKC0dw/PICT1.jpg?width=750)
AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXYdD8a0po9rfp*a9dfnhbdCTOCl-3lYb9NcTpF5y2FllBwAPmgUW7yhVSriQu7XelpF7r9kRkTiQe9q7UmmbaZd/AFRICANFAMERSII.jpg?width=650)
VODACOM YAINGIA UBIA NA TAASISI ZA KIMATAIFA KUSAIDIA WAKULIMA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9rotKGgVPpg/VD6G6lX7VeI/AAAAAAAGqpw/cFskvW3encc/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Vodacom yaingia ubia na taasisi za kimataifa kusaidia wakulima 30,000 nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rotKGgVPpg/VD6G6lX7VeI/AAAAAAAGqpw/cFskvW3encc/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sopKePZHBHc/VD6G6g7qAMI/AAAAAAAGqps/3NvG6Rnmla4/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Costech kusaidia vijana wabunifu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Vodacom Tanzania yawezesha wanafunzi kuendelea na masomo kupitia jukwaa la kidijitali bure.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s1600/download.png)
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini kunufaika na utoaji wa elimu bure kupitia jukwaa la kidijitali.Shule za msingi na sekondari kunufaika na upatikanaji bure wa maudhui ya elimu kupitia jukwaa la ‘Vodacom Instant Schools portal’.Kampuni inayoongoza kidijitali nchini ya Vodacom Tanzania PLC inafanya kazi na shule pamoja na taasisi mbalimbali za elimu nchini kutoa huduma ya mafunzo ya dijitali bila gharama yoyote. Taasisi zilizonufaika na huduma hii ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,...