Vodacom yaingia ubia na taasisi za kimataifa kusaidia wakulima 30,000 nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rotKGgVPpg/VD6G6lX7VeI/AAAAAAAGqpw/cFskvW3encc/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Taasisi ya Connected Farmer Alliance (CFA) ya ubia kati ya watu binafsi na makampuni inayohusisha Vodafone,Shirika la Maendeleo la Marekani (USAID) na Shirika lisilo la kibiashara la TechnoServe leo yamesainiana makubaliano ya kwanza ya kutumia teknolojia ya mawasiliano ya simu kuongeza uzalishaji kwa maelfu ya wakulima wadogo wa vipato vya chini nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa makubaliano kati ya CFA, Olam International inayojishughulisha na masuala ya elimu kwa wakulima na ununuzi wa mazao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXYdD8a0po9rfp*a9dfnhbdCTOCl-3lYb9NcTpF5y2FllBwAPmgUW7yhVSriQu7XelpF7r9kRkTiQe9q7UmmbaZd/AFRICANFAMERSII.jpg?width=650)
VODACOM YAINGIA UBIA NA TAASISI ZA KIMATAIFA KUSAIDIA WAKULIMA NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DL9QIRap53k/Xk1JLlQkQwI/AAAAAAALeYg/qQzF1CNHg8EvfqZ26hBuC_C3ChbaizXzgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-19%2Bat%2B5.16.28%2BPM.jpeg)
Taasisi kutoka Finland yatafuta ubia wa uendeshaji mafunzo nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DL9QIRap53k/Xk1JLlQkQwI/AAAAAAALeYg/qQzF1CNHg8EvfqZ26hBuC_C3ChbaizXzgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-19%2Bat%2B5.16.28%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--P_YPNt9JXo/Xk1JLs9-MQI/AAAAAAALeYk/dRSk5qfxit8GTRSf6fSePPzKcR6Ak4OyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-19%2Bat%2B5.17.06%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JknWrUcsacU/XpoE-DF1f6I/AAAAAAAEGwo/wAwsZaOsKzE8OI3m_WzXqk5TJMUxQDNTACLcBGAsYHQ/s72-c/Donation%2B3.jpeg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yachangia Shilingi Billion 2 kusaidia juhudi za serikali kupambana na COVID - 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-JknWrUcsacU/XpoE-DF1f6I/AAAAAAAEGwo/wAwsZaOsKzE8OI3m_WzXqk5TJMUxQDNTACLcBGAsYHQ/s640/Donation%2B3.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa
Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA RITHT HERE NCHINI IMEPATA MWEKEZAJI MPYA NA KUPATA UBIA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.
Kampuni ya matangazo ya FLAMETREE iliyojikita Africa mashariki sasa imezinduliwa upya na kupewa jina jipya la RIGHT HERE TANZANIA, mabadiliko haya yametokana na kuingia kwa mwekezaji mpya wa kimataifa ambaye ameonyesha nia ya dhati ya kuwekeza kwenye kampuni hii kufuatia utendaji mzuri aliouona kwenye kampuni hiyo na kuamua kuongeza nguvu zaidi katika kuinua utendaji, uwekezaji huu unatarajiwa kuongeza tija na muamko wa wafanyakazi na wateja wao. Kufuatia mabadiliko haya sasa kampuni ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6-17-768x513.jpg)
Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s640/6-17-768x513.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aXNdB63RUvQ/Xm0kkv0ReNI/AAAAAAAEGRo/dPcQ4VZgekQ545XXAmGkMzEiPCPpSzzzQCLcBGAsYHQ/s640/1-1-5-768x513.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s72-c/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yaingia ubia kuongeza ufanisi katika udhibiti wa majanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s1600/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uhX8ASzOPGw/Vd03AIwfKTI/AAAAAAAH0E4/npviTqtYHNI/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-uhX8ASzOPGw/Vd03AIwfKTI/AAAAAAAH0E4/npviTqtYHNI/s640/Picha%2Bna%2B1.jpg)
Afisa Mwandamizi anayeshughulikia Sera na maendeleo ya kilimo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Bill na Melinda Gates Bw. Stanley Wood akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha mazungumzo na viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) nchini Tanzania kuangalia uwezekano wa taasisi hiyo kusaidia miradi ya ukusanyaji wa Takwimu za kilimo nchini Tanzania.Kushoto kwake ni Mratibu wa miradi wa Taasisi hiyo Bi.Bhramar Dey.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1BuDdVAkRwk/Vd03ArxzbeI/AAAAAAAH0FQ/3DP3AlI46zE/s640/Picha%2Bna%2B2.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOdz6tejFMDLqY105we8BGVOYJ32nyLFtE4mbJYmdICYnJsaF4kQsv5SEUl3kSz1ylsrUSqTPNffZlJ5Fr8Y3dfz/Pichana1.jpg)
TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA