Taasisi kutoka Finland yatafuta ubia wa uendeshaji mafunzo nchini

Mshauri Mwandamizi, Bw. Shielles Tenaw, (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Dkt. Pancras Bujulu, (katikati) wakimfuatilia kwa makini mmoja wa wanafunzi wa Fani ya Ufundi Mitambo (Fitter Mechanics), katika Chuo cha VETA Dar es Salaam, akiwaonesha utendaji kazi wa mashine na mitambo mbalimbali walipotembelea Karakana y Ufundi Mitambo, Chuoni hapo.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Omnia Espoo, Sampo Suihko, (kushoto), akifuatilia kwa makini maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Dkt. Pancras Bujulu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAOFISA WA TAASISI YA STEP1 YA KOREA WAPATA MAFUNZO YA UENDESHAJI MITAMBO TBL
11 years ago
GPL
VODACOM YAINGIA UBIA NA TAASISI ZA KIMATAIFA KUSAIDIA WAKULIMA NCHINI
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vodacom yaingia ubia na taasisi za kimataifa kusaidia wakulima 30,000 nchini
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Nacte yatoa taratibu za uendeshaji wa mafunzo ya ufundi nchini

10 years ago
GPLNACTE YATOA TARATIBU ZA UENDESHAJI WA MAFUNZO YA UFUNDI NCHINI
5 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mahojiano na Mtunzi wa Vitabu vya Utaalamu wa Mapishi Benn Haidari, kutoka Stockholm nchini Finland
10 years ago
Michuzi
Taasisi kutoka India yawapiga msasa wakaguzi wa migodi nchini


10 years ago
Mwananchi06 Jul
HOJA YA MWAKA: Uchaguzi wa wabunge wa Finland na mafunzo kwa watanzania