HOJA YA MWAKA: Uchaguzi wa wabunge wa Finland na mafunzo kwa watanzania
Ndugu wasomaji wangu leo nimeona niendelee na mfululizo wa kuwandaa wananchi na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 kwa kujifunza yanayotokea kwenye chaguzi za nchi nyingine duniani. Wiki mbili zilizopita niliandika tena kwa mara ya pili kuhusu uchaguzi wa Nigeria na kilichotokea katika ngazi mbalimbali za uchaguzi huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
Naomba unipe nafasi nitoe maoni yangu kuhusu Uraia pacha nikijbu maoni yaliyoandikwa kwenye gazeti la mwananchi na bwana Humphrey Polepole. Maoni yake yamenishangaza sana na mtu huyu anaonekana ana hujuzi kidogo katika mambo ya uandishi na ameamua kutumua ujuzi wake kudanganya watu kuhusu swala hili la urahia pacha kwa watanzania.Napenda iheleweke kwamba urahia pacha sio kitu kigeni Tanzania. Kimsingi na kimazingira Tanzania inaruhusu urahia pacha.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
HOJA BINAFSI: Nasaha kwa Watanzania wanaoulizia wafadhili wa nje
>Mafanikio maishani yanahitaji ,abo mawili; kutojua na kujiamini,†aliandika mtunzi maarufu wa riwaya, Mark Twain. Zamani shuleni tulisoma vitabu vya Mark Twain vinavyofundishia Kiingereza ulimwengu mzima. Kati ya riwaya ya sifa na sambusa ni The Adventures of Huckleberry Finn.
9 years ago
Michuzi04 Sep
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA WATANZANIA NA VIONGOZI WA VYAMA SIASA
Na Yusef israelNamshukuru mwenyezi Mungu kwa kutuweza kutufikisha hapa toka tupate uhuru na toka nchi zetu mbili hizi zilizoweza kuungana na kuzaliwa taifa moja la jamhuri ya muungano watu wa Tanzania,ni mambo mengi tumeshuudia mazuri na mabaya natunapakaa na kuangalia nyuma tunaona kweli kuna mazuri tumefanikiwa na kuna mambo ambayo tumeshindwa kuyatimiza au kuyatenda kwa sababu zetu wenyewe au makosa yetu wenyewe au sababu ya kutokuwa na uwezo wa kifedha.
Tanzania ya leo ina wananchi...
Tanzania ya leo ina wananchi...
5 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
10 years ago
Mwananchi11 Jan
HOJA YA MWAKA: Kila kizazi kina jukumu lake kwa taifa husika
>Ndugu wasomaji wangu leo ninaanza safari mpya tena ndefu hasa kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ambao kimsingi ni mgumu sana, kwani rais wetu Profesa Jakaya Kikwete anaondoka na ni lazima tuchague rais mwingine.
5 years ago
MichuziTaasisi kutoka Finland yatafuta ubia wa uendeshaji mafunzo nchini
Mshauri Mwandamizi, Bw. Shielles Tenaw, (kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Dkt. Pancras Bujulu, (katikati) wakimfuatilia kwa makini mmoja wa wanafunzi wa Fani ya Ufundi Mitambo (Fitter Mechanics), katika Chuo cha VETA Dar es Salaam, akiwaonesha utendaji kazi wa mashine na mitambo mbalimbali walipotembelea Karakana y Ufundi Mitambo, Chuoni hapo.Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Omnia Espoo, Sampo Suihko, (kushoto), akifuatilia kwa makini maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Dkt. Pancras Bujulu,...
10 years ago
Mwananchi28 May
Wabunge 42 kulamba Sh3.3 bilioni kwa mwaka
Dar es Salaam. Kipindi kama hiki, mwaka jana kulikuwa na mnyukano mkubwa wa maoni kuhusiana na pendekezo la Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwamba muundo wa Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar uwe wa Serikali tatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania