Wabunge 42 kulamba Sh3.3 bilioni kwa mwaka
Dar es Salaam. Kipindi kama hiki, mwaka jana kulikuwa na mnyukano mkubwa wa maoni kuhusiana na pendekezo la Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwamba muundo wa Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar uwe wa Serikali tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Samatta kulamba Sh1.6 bilioni Ulaya
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tanzania yapoteza Sh800 bilioni kwa mwaka
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Sekta ya utalii yaingiza dola bilioni 2 kwa mwaka
NA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu, amesema sekta ya utalii nchini inaongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni na kufikia dola za Marekani bilioni 2 kwa mwaka kutokana na hali ya mabadiliko ya mfumo wa mapato hayo.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na taasisi inayoshughulika na mambo ya utafiti wa kupunguza umasikini (Repoa), ambapo aliitaja sekta ya madini hasa ya dhahabu kuwa ya pili...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6C8y_VW3rvM/XqFTHq7cFxI/AAAAAAAC3wk/Ts67WVbLy1EDnVGBcyongZX2RbWr28-LACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BUNGE LIMERIDHIA NA KUPITISHA TSH. BILIONI 40 KWA WIZARA YA HABARI, SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-6C8y_VW3rvM/XqFTHq7cFxI/AAAAAAAC3wk/Ts67WVbLy1EDnVGBcyongZX2RbWr28-LACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akiwasilisha hotuba ya Madirio na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2020/2021 Bungeni jijini Dodoma leo April 22,2020 Waziri Wa Habari,Sanaa ,Utamaduni na Michezo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-glSZ6aRDdUg/Uyc7rbyAqPI/AAAAAAAFUPo/60Um7VGLGFw/s72-c/unnamed+(94).jpg)
MAGADI SODA YAGUNDULIKA, KULIINGIZIA TAIFA SHILINGI BILIONI 480 KWA MWAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-glSZ6aRDdUg/Uyc7rbyAqPI/AAAAAAAFUPo/60Um7VGLGFw/s1600/unnamed+(94).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s72-c/MNDOLWA.jpg)
BENKI YA TPB YAPATA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 15.9 KWA MWAKA UNAOISHIA DESEMBA 31,2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s640/MNDOLWA.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya TPB Dk. Edmund Mndolwa,(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya kodi ya Sh.bilioni 15.9 kwa mwaka Desemba 2019.Kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Sabasaba Mushingi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zfrA-m7zVCg/Xt5M7xbaz1I/AAAAAAALtFs/4U9hOY_xFP0Wbow9jw7ow6sQymqHW-URgCLcBGAsYHQ/s640/MOSHINGI.jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Sabasaba Moshingi,(kulia) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya ...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
HOJA YA MWAKA: Uchaguzi wa wabunge wa Finland na mafunzo kwa watanzania