MAGADI SODA YAGUNDULIKA, KULIINGIZIA TAIFA SHILINGI BILIONI 480 KWA MWAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-glSZ6aRDdUg/Uyc7rbyAqPI/AAAAAAAFUPo/60Um7VGLGFw/s72-c/unnamed+(94).jpg)
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) Bw. Abel Ngapemba akifanunua kwa waandishi umuhimu wa mradi wa uchimbaji magadi soda katika mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO. Kushoto kwake ni Mhandisi wa mradi Godfrey Mahundi na mkuu wa kitengo cha viwanda vya Kemikali Mhandisi Abdallah Mandwanga.
----------------------------------------
Na Frank Mvungi-MAELEZO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Magadi soda kuliingizia taifa bil. 480/- kwa mwaka
TANZANIA inatarajia kuwa miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa magadi soda duniani yatakayoingizia taifa kiasi cha dola za Marekani milioni 300 kwa mwaka, sawa na sh bilioni 480. Pesa hizo ni...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Magadi soda kuingiza bil. 480/- kwa mwaka
SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC) limegudua kiasi kikubwa cha madini ya magadi soda katika Bonde la Engaruka, Wilaya ya Monduli, Arusha. Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa NDC, Abel Ngapemba,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s72-c/MNDOLWA.jpg)
BENKI YA TPB YAPATA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 15.9 KWA MWAKA UNAOISHIA DESEMBA 31,2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s640/MNDOLWA.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya TPB Dk. Edmund Mndolwa,(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya kodi ya Sh.bilioni 15.9 kwa mwaka Desemba 2019.Kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Sabasaba Mushingi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zfrA-m7zVCg/Xt5M7xbaz1I/AAAAAAALtFs/4U9hOY_xFP0Wbow9jw7ow6sQymqHW-URgCLcBGAsYHQ/s640/MOSHINGI.jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Sabasaba Moshingi,(kulia) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya ...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Magadi soda ni utajiri mwingine
11 years ago
Habarileo18 Mar
Tanzania yaongoza kuzalisha magadi soda
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa magadi soda, yatakayoingizia taifa Sh bilioni 480 kwa mwaka.
10 years ago
Mtanzania26 Feb
Lowassa: Magadi soda yasigeuke laana Engaruka
![Edward Lowassa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Edward-Lowassa-300x193.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
NA ELIYA MBONEA, MONDULI
WAZIRI Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amesema hatakubali kuona kiasi kikubwa cha magadi soda kilichogundulika katika Kijiji cha Engaruka Juu, kugeuka kuwa laana kwa wakazi wa eneo hilo. Hivyo aliwataka wakazi na wanavijiji wanaozunguka maeneo hayo kujipanga vizuri kuhusu jinsi ya kujiendesha kwa biashara kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla. Mbunge huyo wa Monduli aliyasema hayo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Uchimbaji, uchakataji magadi soda kutoa fursa za ajira nchini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizobarikiwa utajiri wa rasilimali nyingi ambazo ni tegemeo kwa wananchi wake na serikali. Baadhi ya rasilimali tunazojivunia ni misitu, madini na mbuga za...