Benki ya Exim yaingia ubia kuongeza ufanisi katika udhibiti wa majanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s72-c/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Majanga wa Benki ya Exim, Bw. David Lusala (Katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano kutangaza kuingia ubia na kampuni ya Hymans Robertson ya London ikishirikiana na StraitsBridge Advisors (SBA) ya Singapore katika utoaji wa huduma kwenye masuala ya UdhibitI Majanga ijulikanayo kama Enterprise-Wide Risk Management (ERM). Wakishuhudia wa kwanza kulia ni Mwakilishi toka Hymans Robertson Bw. Maurice Kilavuka na Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jan
Exim waja na mradi wa kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususani katika utoaji huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Siaophoro Kishimbo alisema kampeni hiyo imeanza katika wakati muafaka huku benki ikijikita katika dhamira ya kuwa benki chaguo la kwanza nchini Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Exim yazindua kampeni kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan katika suala la utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi
Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.
Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya kati ya kampuni yake na benki ya PBZ, Benki Yako...
5 years ago
MichuziBENKI YA TPB NA TIB CORPRATE ZAUNGANISHWA KUONGEZA UFANISI
5 years ago
MichuziTEHAMA KUONGEZA UFANISI KATIKA SEKTA YA USHIRIKA
Hayo yamesemwa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati akifungua Kikao Kazi cha Mafunzo ya Mfumo wa Kukusanya Mapato...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Ubia utachochea ufanisi kwenye kilimo nchini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QrH0nep3pQw/VU3WESEQBJI/AAAAAAAC4Lk/VbKHPIMl5WM/s72-c/Tanga%2BRally%2BPix%2B1.jpg)
Benki ya Exim Ilivyoshiriki Katika Mbio za Magari Tanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-QrH0nep3pQw/VU3WESEQBJI/AAAAAAAC4Lk/VbKHPIMl5WM/s640/Tanga%2BRally%2BPix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tg1f4T5UATQ/VU3WEfLgcFI/AAAAAAAC4Lg/HlN5soIzLoo/s640/Tanga%2BRally%2BPix%2B2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-14-1024x648.jpg)
MASAUNI ATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO,AWATAKA KUONGEZA UFANISI KATIKA BIDHAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5U_eGhfOuR4/XkltKJ_zKWI/AAAAAAALdl8/BY84WYRPr9sfpCjFmb90IN7k54M1I7CRACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-14-1024x648.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q_QGLZbxJbA/VBFdOfdFpQI/AAAAAAACqoI/ZWvNqdoRKh0/s72-c/Nuebrand%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim katika Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_QGLZbxJbA/VBFdOfdFpQI/AAAAAAACqoI/ZWvNqdoRKh0/s1600/Nuebrand%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EZgVeQMs3ZM/VBFdQS6_QXI/AAAAAAACqoQ/KHKBX7fiu7k/s1600/Nuebrand%2BPIX%2B3.jpg)