Ubia utachochea ufanisi kwenye kilimo nchini
Wapendwa wasomaji baada ya kuangalia mikakati ya BRN katika kuongeza uzalishaji na usalama wa chakula na masoko ya kilimo, wiki iliyopita, leo tunaangalia namna ubia kati ya wakulima wadogo na wakubwa utakavyosaidia kuongeza tija na uhakika wa masoko hasa kwa wakulima wadogo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s72-c/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yaingia ubia kuongeza ufanisi katika udhibiti wa majanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s1600/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wakulima Dodoma, wasifu Ufanisi wa TPA katika kuwezesha Usafirishaji wa Mazao na Uagizaji wa Pembejeo za Kilimo
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.
Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp21IcrocZyt1r56q6qS5gFW4Z8z3AhKUN9biGlqlCrG-0K8R8wWvYq7AXQ01MgZk-5qdJr8d*YdcEm4*EODHdGLX/wakulimaDOM4.jpg)
WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DL9QIRap53k/Xk1JLlQkQwI/AAAAAAALeYg/qQzF1CNHg8EvfqZ26hBuC_C3ChbaizXzgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-19%2Bat%2B5.16.28%2BPM.jpeg)
Taasisi kutoka Finland yatafuta ubia wa uendeshaji mafunzo nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DL9QIRap53k/Xk1JLlQkQwI/AAAAAAALeYg/qQzF1CNHg8EvfqZ26hBuC_C3ChbaizXzgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-19%2Bat%2B5.16.28%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--P_YPNt9JXo/Xk1JLs9-MQI/AAAAAAALeYk/dRSk5qfxit8GTRSf6fSePPzKcR6Ak4OyQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-19%2Bat%2B5.17.06%2BPM.jpeg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXYdD8a0po9rfp*a9dfnhbdCTOCl-3lYb9NcTpF5y2FllBwAPmgUW7yhVSriQu7XelpF7r9kRkTiQe9q7UmmbaZd/AFRICANFAMERSII.jpg?width=650)
VODACOM YAINGIA UBIA NA TAASISI ZA KIMATAIFA KUSAIDIA WAKULIMA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9rotKGgVPpg/VD6G6lX7VeI/AAAAAAAGqpw/cFskvW3encc/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Vodacom yaingia ubia na taasisi za kimataifa kusaidia wakulima 30,000 nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rotKGgVPpg/VD6G6lX7VeI/AAAAAAAGqpw/cFskvW3encc/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sopKePZHBHc/VD6G6g7qAMI/AAAAAAAGqps/3NvG6Rnmla4/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
PPP zinaweza kupiga hatua iwapo zitaingia ubia na usimamizi na uendesaji kwenye vituo vya tiba
Mgeni rasmi Bartolome Temba Katibu Tawala Msaidizi sekretarieti ya Mkoa wa Singida akaimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Kone .
Na Hillary Shoo, Singida.
SEKTA ya Umma na sekta binafsi nchini (PPP),zinaweza kupiga hatua kubwa ya maendeleo katika utoaji huduma ya afya,iwapo zitaingia ubia wa usimamizi na uendeshaji kwenye vituo vya kutolea tiba hapa nchini.
Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Singida,Bartholome Temba ametoa rai jana mjini hapa wakati wa mkutano wa uhamasishaji wa ubia...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa
Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA RITHT HERE NCHINI IMEPATA MWEKEZAJI MPYA NA KUPATA UBIA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.
Kampuni ya matangazo ya FLAMETREE iliyojikita Africa mashariki sasa imezinduliwa upya na kupewa jina jipya la RIGHT HERE TANZANIA, mabadiliko haya yametokana na kuingia kwa mwekezaji mpya wa kimataifa ambaye ameonyesha nia ya dhati ya kuwekeza kwenye kampuni hii kufuatia utendaji mzuri aliouona kwenye kampuni hiyo na kuamua kuongeza nguvu zaidi katika kuinua utendaji, uwekezaji huu unatarajiwa kuongeza tija na muamko wa wafanyakazi na wateja wao. Kufuatia mabadiliko haya sasa kampuni ya...