Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PPP zinaweza kupiga hatua iwapo zitaingia ubia na usimamizi na uendesaji kwenye vituo vya tiba

MGENI

Mgeni rasmi Bartolome Temba Katibu Tawala Msaidizi sekretarieti ya Mkoa wa Singida akaimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Kone .

Na Hillary Shoo, Singida.

SEKTA ya Umma na sekta binafsi nchini (PPP),zinaweza kupiga hatua kubwa ya maendeleo katika utoaji huduma ya afya,iwapo zitaingia ubia wa usimamizi na uendeshaji kwenye vituo vya kutolea tiba hapa nchini.

Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Singida,Bartholome Temba ametoa rai jana mjini hapa  wakati wa mkutano wa uhamasishaji wa ubia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI

Charles James, Globu ya JamiiSERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO

Charles James, Globu ya Jamii

SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.

LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...

 

9 years ago

Michuzi

Muangalizi Mkuu wa EU kutembelea vituo vya kupiga kura Jijini Dar es Salaam Siku ya Uchaguzi

Muangalizi Mkuu wa Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) kwa Tanzania, Judith Sargentini, atakuwa akiangalia uchaguzi, katika vituo vifuatavyo, pamoja na vinginevyo Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba:
MudaJimboKataKituo cha kupiga kuraSaa nne –Saa tano asubuhiIlalaKisutuShule ya Msingi Kisutu A-1,2,3,4Mtaa wa KisutuSaa tisa na robo – Saa kumi alasiriKaweMsasaniShule ya Msingi Oyster Bay, C-1,2,3Barabara ya Haile Selassie
Kutakuwa na fursa za waandishi wa habari kufanya...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akifungua rasmi mkutano wa wadau wa uhamasishaji wa ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi PPP - ("Public and Private Partnership") katika Sekta ya Afya uliofanyika leo katika ukumbi wa Hospitali Kuu ya Mkoa wa Rukwa. Katika hotuba yake ya ufunguzi amesema ili kufikia lengo kuu la millennia ifikapo mwaka 2015 la kupunguza vifo vya watoto, akina mama wajawazito na kuweza kudhibiti magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza pamoja na kuboresha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?

Rwanda imesema kuwa tayari inatumia roboti katika kuzuwia maambukizi ya virusi vya corona kwenye vituo vya ugonjwa huo

 

9 years ago

GPL

WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA AMANI NA UTULIVU VITUO VYA NZASA, KENTONI, USTAWI WA JAMII NA MPAKANI 'A' JIJINI DAR

Mmoja wa wakazi wa Kijitonyama mpakani akipiga Kura yake KITUO CHA KUPIGIA KURA NZASA Baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Nzasa wakiwa…

 

11 years ago

Michuzi

WALIMU WA SEKONDARI WAKIANGALIA KWENYE MTANDAO VITUO VYAO VYA KAZI WALIVYOPANGIWA

Walimu wa sekondari wakiwa duka la Kwetu Net (Internet Cafe) mjini Iringa leo wakiangalia kwenye mtandao halmashauri walizopangiwa  kwenda ambako watapangiwa shule za kufanyia kazi leo.

 

9 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LAZINDUA MFUMO MPYA WA KISASA WA USIMAMIZI WA MIZIGO KWENYE VIWANJA VYA NDEGE

SHIRIKA la ndege la Etihad ambalo ndio shirika rasmi la nchi ya Falme za kiarabu, leo hii limetangaza makubaliano na kampuni ya Luggage Logistics kuboresha mfumo mzima wa usimamizi wa mizigo katika viwanja vake vya ndege dunia nzima.

Kupitia mfumo wa kisasa wa Baggage Management System (BMS) unaosimamiwa na kampuni ya Luggage Logistics, shirika la ndege la Etihad litaweza kuboresha usimamizi ikiwemo kusafirisha mizigo ya wasafiri kwa wakati. Mfumo huo pia utawezesha kufuatilia kwa urahisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani