WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA AMANI NA UTULIVU VITUO VYA NZASA, KENTONI, USTAWI WA JAMII NA MPAKANI 'A' JIJINI DAR
Mmoja wa wakazi wa Kijitonyama mpakani akipiga Kura yake KITUO CHA KUPIGIA KURA NZASA Baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Nzasa wakiwa…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMTONI KIJICHI, MBAGALA WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
GPLMTONI KIJICHI, MBAGALA WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi24 Oct
Muangalizi Mkuu wa EU kutembelea vituo vya kupiga kura Jijini Dar es Salaam Siku ya Uchaguzi
MudaJimboKataKituo cha kupiga kuraSaa nne –Saa tano asubuhiIlalaKisutuShule ya Msingi Kisutu A-1,2,3,4Mtaa wa KisutuSaa tisa na robo – Saa kumi alasiriKaweMsasaniShule ya Msingi Oyster Bay, C-1,2,3Barabara ya Haile Selassie
Kutakuwa na fursa za waandishi wa habari kufanya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wananchi wajitokeza kwa wingi kupiga kura maeneo mbalimbali ya Kata ya Kijitonyama jijini Dar
Wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kuwahudumia wananchi waliofika katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kijitonyama leo jijini Dar kwa ajili ya kupiga kura.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mmoja wa wazee akisaidiwa na mtu wake wa karibu ili kupiga kura katika kituo cha Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar leo.
Mlemavu akisaidiwa na mtu wa karibu alipofika katika kituo cha Kenton kwa ajili ya kupiga kura.
Mmoja wa wananchi akiwa kwenye sehemu ya kupigia kura...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
ZOEZI ZA UPIGAJI KURA LAANZA NA KUENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s320/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-he795LIewXY/Vix2HuwTmCI/AAAAAAAICms/K4LBUBSDM1c/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhaLxaqwIec/Vix2RlhasFI/AAAAAAAICnA/6VVQk4ZVofU/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uvvglijajvw/Vix2RlWdd9I/AAAAAAAICm8/NELVF55KrBw/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U9-s16xF-WE/Vix_wS7iCOI/AAAAAAAICog/Lhbi_4OQ7Os/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rS5WUx5n5UM/Vix_wWqdmYI/AAAAAAAICok/UJdYYpwK5yc/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Picha kwa hisani ya blogger Seria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvQle*NMsH6-eXhiIizX87qfQpv9QQI1hciClc9UEcc1X3eLNoQLaiGLtTwtPsCacxIiNYu7fKzxpg1GaTAgwNcb/1.jpg?width=650)
DR. MENGI AZINDUA MPANGO WA AIRTEL FURSA 'TUNAKUWEZESHA' JIJINI DAR
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...