MTONI KIJICHI, MBAGALA WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
Rukia Omari (kushoto), akimsaidia kupiga kura jamaa yake Mwanaharusi Mohamed ambaye ni mlemavu wa macho wakati wa kupiga kura katika kituo cha Mbagala Misheni Dar es Salaam leo asubuhi. Wananchi wakiwa wamejipanga foleni kwa ajili ya kupiga kura katika Kituo cha Mtoni Kijichi Stendi Dar es Salaam leo asubuhi. Wananchi wakisubiri kupiga kura katika kituo cha Shimbwe Mbagala… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMTONI KIJICHI, MBAGALA WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
GPLWENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KWA AMANI NA UTULIVU VITUO VYA NZASA, KENTONI, USTAWI WA JAMII NA MPAKANI 'A' JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
ZOEZI ZA UPIGAJI KURA LAANZA NA KUENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_3Jed9BoizA/Vix2HvaR9DI/AAAAAAAICmw/rHv5meJoR-0/s320/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-he795LIewXY/Vix2HuwTmCI/AAAAAAAICms/K4LBUBSDM1c/s640/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FhaLxaqwIec/Vix2RlhasFI/AAAAAAAICnA/6VVQk4ZVofU/s640/unnamed%2B%252859%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uvvglijajvw/Vix2RlWdd9I/AAAAAAAICm8/NELVF55KrBw/s640/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U9-s16xF-WE/Vix_wS7iCOI/AAAAAAAICog/Lhbi_4OQ7Os/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rS5WUx5n5UM/Vix_wWqdmYI/AAAAAAAICok/UJdYYpwK5yc/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Picha kwa hisani ya blogger Seria
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-hEwQnDtqfMk/ViywrO3hT1I/AAAAAAAAios/lZ8z9m3IwVs/s640/IMG_20151025_111313.jpg)
KITUO CHA SEGEREA MAGEREZA HALI NI SHWARI, WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i7IuGDQLi_Y/VN22IkweWkI/AAAAAAAHDbw/WmNdkzkmyJ4/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
HAJAT KIJAKAZI SALUM KYERULA AFARIKI DUNIA, MSIBA UPO MIKOCHENI VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM, KUZIKWA LEO MTONI KIJICHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i7IuGDQLi_Y/VN22IkweWkI/AAAAAAAHDbw/WmNdkzkmyJ4/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
Mmoja wa waasisi na viongoizi wakongwe wa CCM Hajat Kijakazi Salum Kyerula amefairiki dunia jijini Dar es salaam jana. Taratibu za mazishi zinafanyika mikocheni eneo la Victoria karibu na Oil com pamoja na hospitali ya Kairuki, jijini Dar es salaam. Swala ya maiti itafanyika hapo hapo Mikocheni sambamba na swala ya Ijumaa na baadaye maziko yatafanyika Mtoni Kijichi, kwenye makaburi ya njia panda ya Neruka.
WASIFU WA MAREHEMUHAJAT KIJAKAZI SALUM KYELULA NA RATIBA YA MAZISHI
Hajat KIJAKAZI...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Wananchi wajitokeza kwa wingi kupiga kura maeneo mbalimbali ya Kata ya Kijitonyama jijini Dar
Wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kuwahudumia wananchi waliofika katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kijitonyama leo jijini Dar kwa ajili ya kupiga kura.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Mmoja wa wazee akisaidiwa na mtu wake wa karibu ili kupiga kura katika kituo cha Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar leo.
Mlemavu akisaidiwa na mtu wa karibu alipofika katika kituo cha Kenton kwa ajili ya kupiga kura.
Mmoja wa wananchi akiwa kwenye sehemu ya kupigia kura...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBO9nPGcclp6Aty1L513u20v2GBaTKDGqonDt27Gfa*aB5yekO7bA*WrF5POuAeIyadLiSZ3hDu0AmVlCmI-iR*U/KIEMBE.jpg?width=650)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hEwQnDtqfMk/ViywrO3hT1I/AAAAAAAAios/lZ8z9m3IwVs/s72-c/IMG_20151025_111313.jpg)
KITUO CHA SEGEREA MAGEREZA HALI NI SHWARI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA
![](http://2.bp.blogspot.com/-hEwQnDtqfMk/ViywrO3hT1I/AAAAAAAAios/lZ8z9m3IwVs/s640/IMG_20151025_111313.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dfLulXjg4vw/ViywsIe1bII/AAAAAAAAio0/gmInvXvolqY/s640/IMG_20151025_111404.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cx5GCjH9Gr0/ViywXPaX3pI/AAAAAAAAiok/NT6JXpRJgLs/s640/IMG_20151025_111528.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9h0NxQVa61U/Viyw1ny5UiI/AAAAAAAAio8/ft9OUGW6MAA/s640/IMG_20151025_111542.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-v5aWe4dETLo/Viyw8iC_D9I/AAAAAAAAipE/bF_RC_Oege0/s640/IMG_20151025_111633.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_5_N4KTqD08/ViyxADbGjiI/AAAAAAAAipM/azMocXwZxJQ/s640/IMG_20151025_111650.jpg)