Benki ya Exim katika Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_QGLZbxJbA/VBFdOfdFpQI/AAAAAAACqoI/ZWvNqdoRKh0/s72-c/Nuebrand%2BPIX%2B1.jpg)
Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim Tanzania, Bi. Agnes Kaganda (mwenye fulana nyeupe)akiwapa somo wafanyabiashara wadogo juu ya umuhimu wa kutumia huduma za kifedha na kibenki ili kukuza biashara zao wakati wa Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyoandaliwa na kampuni ya Nuebrand iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim Tanzania, Bi. Agnes Kaganda (mwenye fulana nyeupe)akiwapa somo wafanyabiashara wadogo juu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUTT ILIVYOSHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI 2014 PAMOJA NA MAONYESHO YA WAHANDISI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2zA3-zY3gww/VeLEJd-4ucI/AAAAAAAH08k/-7UtpeZb5Ag/s72-c/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-2zA3-zY3gww/VeLEJd-4ucI/AAAAAAAH08k/-7UtpeZb5Ag/s640/001.Kongamano.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zq7ey03BXVM/VeLECFitPYI/AAAAAAAH08c/DYTU_HGehxE/s640/002.Kongamano.jpg)
9 years ago
VijimamboKONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI KUFANYIKA AGOSTI 28-30, 2015 JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee48z*eIIl0T0iTQhGdaxbYxshxlaiqivKwfNWre5*efhWLopu7srbaLyWL5*8bso51VdyErM0v5zPasmPd*1SCPO/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s72-c/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM KATIKA TUZO ZA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rvbhlOOtUvg/VJFCbtBKhRI/AAAAAAACwjE/1TzCfk1-cyc/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
9 years ago
MichuziMkurugenzi wa Benki ya Amana afunga wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Mwanza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TS-XtgtA_yo/XvC3xvUnWdI/AAAAAAAEH9s/SaHGur3U3LIKpeeA0tGzTqMdMbbLBHi8QCLcBGAsYHQ/s72-c/exim%2Bdig..jpg)
Benki Ya Exim Yazindua Kampeni Kuhamasisha Huduma Za Kidigitali
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID...