Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s72-c/FR%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza ongezeko la asilimia 35 la faida ya kabla ya kodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s1600/FR%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F6AlFfFcICo/VTDNoA_IAjI/AAAAAAAC3Oc/uLE3nbBnbDo/s1600/FR%2BPIX%2B2%2B.jpg)
9 years ago
MichuziFAIDA BENKI YA EXIM YAKUA KWA ASILIMIA 69
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j3Orno4Mq2I/VhbII8Nx-DI/AAAAAAAH9_E/8mmlKVGEC64/s72-c/unnamed1.jpg)
Rasilimali za Benki M zaongezeka katika robo ya tatu ya mwaka 2015
Akizungumza katika mkutano huo, Naibu mkurugenzi mkuu wa benki hiyo Bi. Jacqueline Woiso alisema kuwa kwa upande wa rasilimali, mizania ya benki imeendelea kukua kwa asilimia 19% kufikia bilioni 823.43 bilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2015, kutoka sh 689 bilioni za mwezi December 2014. Hiki ndio...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans Tanzania!
Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans Tanzania. wengine ni maafisa waandamizi wa kampuni hiyo (Picha zote na Andrew Chale)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Kampuni ya LETSHEGO Holding Limited yenye makao yake makuu nchini Botswana ambayo kwa Tanzania ikijulikana kama taasisi ya Mikopo ya Faidika, imetangaz...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Exim yapata faida bil. 20/-
BENKI ya Exim imepata faida ya sh bilioni 20 kabla ya kodi hadi kuishia Desemba mwaka jana, ikionyesha ongezeko la asilimia 21 kutoka sh bilioni 16.5 iliyopatikana mwaka juzi. Mizania...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s72-c/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM KATIKA TUZO ZA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-ua-oXbfN8Ws/VJFCbaeOnGI/AAAAAAACwjA/ZpwTcq-FmIA/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rvbhlOOtUvg/VJFCbtBKhRI/AAAAAAACwjE/1TzCfk1-cyc/s1600/EXIM%2B-ATE%2BPIX%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q_QGLZbxJbA/VBFdOfdFpQI/AAAAAAACqoI/ZWvNqdoRKh0/s72-c/Nuebrand%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim katika Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_QGLZbxJbA/VBFdOfdFpQI/AAAAAAACqoI/ZWvNqdoRKh0/s1600/Nuebrand%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EZgVeQMs3ZM/VBFdQS6_QXI/AAAAAAACqoQ/KHKBX7fiu7k/s1600/Nuebrand%2BPIX%2B3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AuJ8qUUo8Jc/U2M-CSZSy6I/AAAAAAACgCA/sRYigtCBzdM/s72-c/Sw+1.jpg)
Swissport yapata ongezeko la faida kwa asilimia 17
![](http://3.bp.blogspot.com/-AuJ8qUUo8Jc/U2M-CSZSy6I/AAAAAAACgCA/sRYigtCBzdM/s1600/Sw+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Tm2Y3g88lM/U2M-C8O--MI/AAAAAAACgCE/NpBTUuJhjlM/s1600/Sw+2.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
NBC yavuna faida kabla ya kodi