Exim yapata faida bil. 20/-
BENKI ya Exim imepata faida ya sh bilioni 20 kabla ya kodi hadi kuishia Desemba mwaka jana, ikionyesha ongezeko la asilimia 21 kutoka sh bilioni 16.5 iliyopatikana mwaka juzi. Mizania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
10 years ago
MichuziFAIDA BENKI YA EXIM YAKUA KWA ASILIMIA 69
10 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yatangaza ongezeko la asilimia 35 la faida ya kabla ya kodi


10 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yatambulisha Kadi ya Faida EMV kuwezesha miamala salama

9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Facebook yapata faida kubwa
10 years ago
Mwananchi25 Mar
DTB yapata faida Sh20 bilioni
10 years ago
Michuzi
NMB Yapata Faida shilingi bilioni 77

10 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yazindua kampeni maalumu kuhamasisha matumizi ya kadi zake mpya za ‘Faida’.
Kwa mujibu wa Meneja Bidhaa wa benki hiyo Bw. Aloyce Maro hatua hiyo ni sehemu ya jitiahada za benki hiyo kuhakikisha kwamba huduma zake zinatolewa kwa uhakika na usalama zaidi kwa faida ya wateja wake.
“Lengo kubwa la kampeni hii ni kuwahamasisha wateja wetu juu ya matumizi ya kadi zetu...
10 years ago
GPLNMB YAPATA FAIDA SHILINGI BILIONI 77