Benki ya Exim yatambulisha Kadi ya Faida EMV kuwezesha miamala salama
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBf_99254n0/VL0hzmMpdGI/AAAAAAACx8o/VTwTjqh25-0/s72-c/Exim%2BSelected5.jpg)
Mkuu wa Hazina wa Benki ya Exim, George Shumbusho, akikata utepe kutambulisha kadi ya “Faida EMV Debit Card” itakayochukua nafasi ya “Magnetic Stripe Faida Debit Card” iliyokua ikitumika hapo awali. Ameambatana na Mkuu wa Kitengo cha kudhibiti majanga wa Benki ya Exim, David Lusala (kulia) na Afisa masoko wa benki hiyo, Noel Tuga. Kadi hiyo hutoa usalama wa hali ya juu kutokana na uwepo wa ‘embedded chip’ inayodadavua taarifa za mteja kwa kutumia mfumo madhubuti wa kiusalama hivyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ec6PfFmtwJc/VVGSRT-3DXI/AAAAAAAC4Sc/DaXn62cGO5g/s72-c/Exim%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni maalumu kuhamasisha matumizi ya kadi zake mpya za ‘Faida’.
Kwa mujibu wa Meneja Bidhaa wa benki hiyo Bw. Aloyce Maro hatua hiyo ni sehemu ya jitiahada za benki hiyo kuhakikisha kwamba huduma zake zinatolewa kwa uhakika na usalama zaidi kwa faida ya wateja wake.
“Lengo kubwa la kampeni hii ni kuwahamasisha wateja wetu juu ya matumizi ya kadi zetu...
9 years ago
MichuziFAIDA BENKI YA EXIM YAKUA KWA ASILIMIA 69
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s72-c/FR%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza ongezeko la asilimia 35 la faida ya kabla ya kodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-mKOLQoTLCAc/VTDNn_XoUxI/AAAAAAAC3OU/_SmW_HWwDEc/s1600/FR%2BPIX%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F6AlFfFcICo/VTDNoA_IAjI/AAAAAAAC3Oc/uLE3nbBnbDo/s1600/FR%2BPIX%2B2%2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IFX8-_iesU8/VR0CLnxakyI/AAAAAAAC2t0/Hu5mMAcYTPg/s72-c/unnamed.png)
Benki ya Exim yatoa wito wateja kuchukua kadi mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-IFX8-_iesU8/VR0CLnxakyI/AAAAAAAC2t0/Hu5mMAcYTPg/s1600/unnamed.png)
Katika jitihada za kupambana na uhalifu wa kimtandao ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma za kibenki katika mazingira salama zaidi, Benki ya Exim imetoa wito kwa wateja wake kuchukua kadi zao za ‘Faida chip and pin Debit Card’ zilizotambulishwa mapema mwezi Januari mwaka zilizochukua nafasi ya ‘Magnetic Stripe Faida Debit Card’.
Kadi za ‘Faida chip and pin Debit Card’ hutoa usalama wa hali ya juu kutokana na uwepo wa ‘embedded chip’ inayodadavua taarifa za mteja ikiwa na mfumo madhubuti wa...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yazindua kampeni ya Chanja Kijanja kwa wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Uzinduzi wa kampeni hiyo mpya iliyopewa jina la 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard' unalenga kutoa fursa ya kipekee kwa wateja wa benki hiyo kufurahia huduma zinazokwenda sambamba na mfumo wa maisha yao kupitia benki hiyo.
Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya...
9 years ago
MichuziMFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Exim yapata faida bil. 20/-
BENKI ya Exim imepata faida ya sh bilioni 20 kabla ya kodi hadi kuishia Desemba mwaka jana, ikionyesha ongezeko la asilimia 21 kutoka sh bilioni 16.5 iliyopatikana mwaka juzi. Mizania...