Benki ya Exim yazindua kampeni ya Chanja Kijanja kwa wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim Tanzania imezindua kampeni ya uhamasishaji ikilenga kuwashawishi zaidi wateja wa benki hiyo kutumia kadi za MasterCard ambapo pamoja na mambo mengine itatoa zawadi mbalimbali kwa wateja hao.
Uzinduzi wa kampeni hiyo mpya iliyopewa jina la 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard' unalenga kutoa fursa ya kipekee kwa wateja wa benki hiyo kufurahia huduma zinazokwenda sambamba na mfumo wa maisha yao kupitia benki hiyo.
Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-25GfuUw2PCk/VnPa1UVcFoI/AAAAAAAINOU/myxQPM_gjF4/s72-c/IMG_8607.jpg)
BENKI YA BARCLAYS TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA MATUMIZI YA KADI ZA VISA KWA WATEJA WAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-25GfuUw2PCk/VnPa1UVcFoI/AAAAAAAINOU/myxQPM_gjF4/s640/IMG_8607.jpg)
Meneja wa bidhaa wa benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua kampeni ya matumizi ya Kadi za VISA za benki ya Barclays kwaajili ya wateja wake. Pia Lutenganya amesema kuwa kampeni hii itadumu kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Desemba 17 mwaka huu hadi Februari 28, 2016. Kampeni hii itamwezesha mteja kunufaika na mafao mbalimbali yanayohusiana na malipo kabla na baada ya kutumia kadi zao za Visa. Wateja wenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ec6PfFmtwJc/VVGSRT-3DXI/AAAAAAAC4Sc/DaXn62cGO5g/s72-c/Exim%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni maalumu kuhamasisha matumizi ya kadi zake mpya za ‘Faida’.
Kwa mujibu wa Meneja Bidhaa wa benki hiyo Bw. Aloyce Maro hatua hiyo ni sehemu ya jitiahada za benki hiyo kuhakikisha kwamba huduma zake zinatolewa kwa uhakika na usalama zaidi kwa faida ya wateja wake.
“Lengo kubwa la kampeni hii ni kuwahamasisha wateja wetu juu ya matumizi ya kadi zetu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KN9dDqZWvuw/VYFVnXlWEuI/AAAAAAAC6_g/MO9a-pGQMW8/s640/3.jpg)
9 years ago
MichuziBenki ya Exim yazindua kituo chake cha huduma kwa wateja
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IFX8-_iesU8/VR0CLnxakyI/AAAAAAAC2t0/Hu5mMAcYTPg/s72-c/unnamed.png)
Benki ya Exim yatoa wito wateja kuchukua kadi mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-IFX8-_iesU8/VR0CLnxakyI/AAAAAAAC2t0/Hu5mMAcYTPg/s1600/unnamed.png)
Katika jitihada za kupambana na uhalifu wa kimtandao ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma za kibenki katika mazingira salama zaidi, Benki ya Exim imetoa wito kwa wateja wake kuchukua kadi zao za ‘Faida chip and pin Debit Card’ zilizotambulishwa mapema mwezi Januari mwaka zilizochukua nafasi ya ‘Magnetic Stripe Faida Debit Card’.
Kadi za ‘Faida chip and pin Debit Card’ hutoa usalama wa hali ya juu kutokana na uwepo wa ‘embedded chip’ inayodadavua taarifa za mteja ikiwa na mfumo madhubuti wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6qBaiGXnx98/U89XcJQt7_I/AAAAAAACl-w/51TQfQyT0_U/s72-c/PIX+3.jpg)
Benki ya Exim Tanzania yaandaa futari kwa wateja wake wa mkoani Tanga
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qBaiGXnx98/U89XcJQt7_I/AAAAAAACl-w/51TQfQyT0_U/s1600/PIX+3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aa4NmvbdIUs/U89Xa2UN0hI/AAAAAAACl-k/Shkjl4W49oI/s1600/PIX+2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2UkKZy105dU/VaefKsrOtkI/AAAAAAAC8lk/9cPtiuSKHdo/s72-c/EXIM%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM YAANDAA HAFLA YA FUTARI KWA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-2UkKZy105dU/VaefKsrOtkI/AAAAAAAC8lk/9cPtiuSKHdo/s640/EXIM%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RVPZoyxtNQ4/VaefK6D9RjI/AAAAAAAC8ls/eMOgT1CvWf4/s640/EXIM%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YWRfi5QfIHw/VaefKJy9iqI/AAAAAAAC8lg/LIfZmDPJOEs/s640/EXIM%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Es66-Mpros8/Vii8j2MLFwI/AAAAAAAIBqQ/ygQZpfpqkhY/s72-c/Exim%2BMtwara%2B1.png)
BENKI YA EXIM YAANDAA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI KWA WATEJA WAKE MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Es66-Mpros8/Vii8j2MLFwI/AAAAAAAIBqQ/ygQZpfpqkhY/s640/Exim%2BMtwara%2B1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ohOfIcHqojA/Vii8jdjeTQI/AAAAAAAIBqM/mUqtojtIV7I/s640/EXIM%2BMtwara%2B2.png)