BENKI YA TPB NA TIB CORPRATE ZAUNGANISHWA KUONGEZA UFANISI
Msajili wa Hazina, Bw. Athumani Mbuttuka (kulia), akizungumza jambo baada ya kutangazwa kuunganishwa kwa Benki ya TIB na TPB Corporate, katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dodoma.
Msajili wa Hazina, Bw. Athumani Mbuttuka, akiwahakikishia wateja wa Benki ya TIB na TPB kuwa huduma hazitaathirika kutokana na kuunganishwa kwa Benki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSerikali Yaziunganisha TPB NA TIB Kuongeza Ufanisi
Serikali imeziunganisha benki zake mbili za biashara, Benki ya Posta Tanzania (TPB Bank Plc) na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB Corporate Limited) ili kuongeza ufanisi na kupunguza gharama za uendeshaji.
Akizungumza leo (Jumatatu Juni 1, 2020) jijini Dodoma, Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka alisema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali zenye lengo la kuboresha utendaji wa mashirika na taasisi za umma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s72-c/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yaingia ubia kuongeza ufanisi katika udhibiti wa majanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s1600/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Jan
Exim waja na mradi wa kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususani katika utoaji huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Siaophoro Kishimbo alisema kampeni hiyo imeanza katika wakati muafaka huku benki ikijikita katika dhamira ya kuwa benki chaguo la kwanza nchini Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Exim yazindua kampeni kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan katika suala la utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa...
10 years ago
Michuzi01 Jul
TIB officially transformed to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited
TIB Development Bank Managing Director, Peter Noni told the press yesterday at the 39th Dar es Salaam International Trade Fair that the licenses have been issued by BoT in June 2015 for the Development and Corporate bank to engage in development financing and commercial banking activities respectively. He said TIB...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ok_6DtVPinM/VWcWGCQGvGI/AAAAAAAHabk/dR2htwbj9z8/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Watumishi Bodi ya Mikopo watakiwa kuongeza ufanisi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ok_6DtVPinM/VWcWGCQGvGI/AAAAAAAHabk/dR2htwbj9z8/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Na Mwandishi wetu
Watumishi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu...
5 years ago
MichuziTEHAMA KUONGEZA UFANISI KATIKA SEKTA YA USHIRIKA
Hayo yamesemwa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati akifungua Kikao Kazi cha Mafunzo ya Mfumo wa Kukusanya Mapato...
9 years ago
MichuziBENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Mambo ya kufahamu ili kuepuka athari na kuongeza ufanisi wa Wafanyakazi wa nyumbani