BENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB Prof. William Lyakurwa (wapili kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru (wa pili kulia) wakibadilishana mikataba ya makubaliano ya kiutendaji kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mkataba huo unalenga kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija kwa taifa. Wanaoshuhudia ni pamoja na Msajili Hazina msaidizi Bw. Mwakibinga Mihalale (wa pili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
TIB yasaini mkataba wa usimamizi na Serikali
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9m7DTNHXEPE/VBBdNUueNSI/AAAAAAAGils/d03x-lSTseg/s72-c/1.jpg)
TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UNDESHAJI WA KAMPUNI HIYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-9m7DTNHXEPE/VBBdNUueNSI/AAAAAAAGils/d03x-lSTseg/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dyUyilttm-c/VBBdQmp1MeI/AAAAAAAGil0/gpeRhHPkcoU/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUpr0xbs1zQJocZWqsCgMoYdz1-8ocZzTFy-8ExeCc7tCMlJofQFTobe4ebJzkQz80jgrVH9iKA0OUCMxX5gSaD/TRL1.jpg?width=650)
TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UENDESHAJI WA KAMPUNI HIYO
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAINI MKATABA WA HALI BORA ZA WAFANYAKAZI WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yasaini mkataba wa mwaka mmoja na Stand United FC
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s72-c/01.jpg)
Tanzania yasaini mkataba wa Sh. bilioni 15.5 kutoka benki ya ADB kuboresha kituo cha utafiti MUHAS.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXDjioyJfts/VItHlPvYdlI/AAAAAAACwYg/41byjXYvSRk/s1600/02.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Jul
SERIKALI YASAINI MKATABA WA KUKUSANYA ZAIDI YA SH. MILIONI 12 KUPITIA MAPATO YA NDANI
![FE1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/FE1.jpg)
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hivi karibuni jijini Dar es salaam ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bernard Mchomvu.
![FE2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/FE2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...