SERIKALI YASAINI MKATABA WA KUKUSANYA ZAIDI YA SH. MILIONI 12 KUPITIA MAPATO YA NDANI
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 hivi karibuni jijini Dar es salaam ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bernard Mchomvu.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akibadilisha hati ya mkataba wa makubaliano na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Serikali yasaini Mkataba wa kukusanya zaidi ya Sh. milioni 12 kupitia mapato ya ndani kwa mwaka 2015/16
Baadhi ya viongozi na watendaji wa Wizara ya Fedha na TRA wakati wa hafla ya kusaini Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikaki imesainiana Mkataba wa Makubaliano ya kukusanya Sh. Milioni 12,362,969 za mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2015/2016 ambayo yanakusanywa kwa mara ya kwanza nchini.
Mkataba huo wa makubaliano umesainiwa leo...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Serikali yasaini mkataba wa zaidi ya Sh. Bilioni 422 kuimarisha sekta ya afya nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akisaini hati ya makubaliano ya mkopo nafuu kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia ili kuimarisha sekta ya afya nchini katika hafla iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akibadilishana hati ya makubaliano ya mkopo nafuu na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Bi Bella Bird...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-n3EJoyGNJxs/U96g-qoXYII/AAAAAAAF8oE/mHKo-_OWzwM/s72-c/Picture+185.jpg)
WAZIRI MKUU ALIAGIZA JIJI LA MBEYA KUKUSANYA MAPATO ZAIDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-n3EJoyGNJxs/U96g-qoXYII/AAAAAAAF8oE/mHKo-_OWzwM/s1600/Picture+185.jpg)
Ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Agosti 2, 2014) wakati akizindua stendi ya kisasa ya mabasi katika eneo la Nane Nane nje kidogo ya Jiji la Mbeya.
“Nikuombe Meya Kapunga, wewe na watu wako ongezeni mapato ya ndani ya Jiji la Mbeya. Wekeni mifumo ya kisasa ya makusanyo inayotumia teknolojia ya habari na mawasiliano, acheni kutumia risiti za kuandika wa...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
5 years ago
MichuziTTCL yasaini mkataba wa zaidi ya sh.Bilioni Tano
9 years ago
Mwananchi08 Sep
TIB yasaini mkataba wa usimamizi na Serikali
9 years ago
MichuziBENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rvOJvRe_2mg/Vbx8OnN1Z1I/AAAAAAAAFZ4/2qF8R9C64ik/s72-c/utalii%2Bwa%2Bndani.jpg)
TANAPA KUKUSANYA ZAIDI YA 2.5BN/- KAMPENI YA KUHAMASISHA UTALII YA NDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rvOJvRe_2mg/Vbx8OnN1Z1I/AAAAAAAAFZ4/2qF8R9C64ik/s640/utalii%2Bwa%2Bndani.jpg)
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kupitia hifadhi zake 16 linakusudia kukusanya zaidi ya 2.5bn/- katika kampeni ya kuhamasisha watu kutembelea hifadhi za taifa...