TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UENDESHAJI WA KAMPUNI HIYO
![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUpr0xbs1zQJocZWqsCgMoYdz1-8ocZzTFy-8ExeCc7tCMlJofQFTobe4ebJzkQz80jgrVH9iKA0OUCMxX5gSaD/TRL1.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya TIB, Bw. Peter Noni (kulia), akitia saini mkataba wa mkopo wa sh bilioni 12 na Mwenyekiti wa Bodi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Severin Kaombwe (katikati), kwa ajili ya uendeshaji wa kampuni hiyo (kushoto), Meneja wa (TRL) Kipallo Aman Kisamfu, anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Mipango Mikakati wa Benki hiyo Bw, Jaffer Machano. hafla hiyo ilifanyika katika ofisi ya Benki hiyo jijini Dar...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9m7DTNHXEPE/VBBdNUueNSI/AAAAAAAGils/d03x-lSTseg/s72-c/1.jpg)
TRL YASAINI MKATABA NA BENKI YA MAENDELEO YA TIB KWA AJILI YA UNDESHAJI WA KAMPUNI HIYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-9m7DTNHXEPE/VBBdNUueNSI/AAAAAAAGils/d03x-lSTseg/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dyUyilttm-c/VBBdQmp1MeI/AAAAAAAGil0/gpeRhHPkcoU/s1600/2.jpg)
9 years ago
MichuziBENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI
10 years ago
Dewji Blog28 May
Serikali ya Tanzania yasaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion na AfDB kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo
Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou- Sabaa wakisaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali ya Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini Abidjan- Ivory coast.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.Aly Abou – Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
TIB yasaini mkataba wa usimamizi na Serikali
11 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA YASAINI MKATABA WA BILIONI 2.1 KWA AJILI YA UJENZI WA MRADI WA MAJI KATA ZA KIVULE NA KIPUNGUNI
11 years ago
GPLMANISPAA YA ILALA YASAINI MKATABA WA BILIONI 2.1 KWA AJILI YA UJENZI WA MRADI WA MAJI KATA ZA KIVULE NA KIPUNGUNI
9 years ago
MichuziSERIKALI YASAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MAGARI NA KAMPUNI YA ASHOK LEYLAND KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, JIJINI DAR
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAINI MKATABA WA HALI BORA ZA WAFANYAKAZI WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yasaini mkataba wa mwaka mmoja na Stand United FC
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s1600/unnamed.jpg)