Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIB officially transformed to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited

The Bank of Tanzania (BoT) has issued two licenses to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited, which is a designated Commercial Bank subsidiary of the former.
TIB Development Bank Managing Director, Peter Noni told the press yesterday at the 39th Dar es Salaam International Trade Fair that the licenses have been issued by BoT in June 2015 for the Development and Corporate bank to engage in development financing and commercial banking activities respectively. He said TIB...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIB Development Bank yaunganisha uzalishaji na masoko

TIB inawakaribisha wadau wote kwenye banda lao la katika Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara 77 kuona jinsi gani wamewawezesha wateja wao kuzalisha bidhaa na kutoa huduma bora Kuendana na kauli mbiu ya 77 'Linking production to markets' TIB imefungua mgahawa wa kisasa kabisa ndani ya banda lake la 77 kuonyesha bidhaa za usindikaji na mazao zinazozalishwa na wateja wao kama nyama, kuku, mboga mboga, vinywaji, asali, mikate, chai, kahawa n.k

 

11 years ago

Michuzi

TIB Development Bank kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuendeleza fukwe za Coco Beach jijini Dar

TIB Development Bank ikishirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya upembuzi yakinifu na kutayarisha michoro kwa ajili ya kuendeleza eneo la ufukweni maarufu kama Coco Beach la jijini Dar es Salaam. 
Mradi huo ujulikanao kama Coco Beach Park utaboresha mazingira na kuongeza vivutio kwenye eneo hilo pendwa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano na wabia mbalimbali na utakuwa unamilikiwa na Manispaa ya Kinondoni. 
TIB Development Bank inashirikiana na...

 

9 years ago

Habarileo

TIB kuipiga jeki Tanesco

BENKI ya Maendeleo ya TIB imesaini makubaliano na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kuanza mradi wa ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji wa umeme kutoka Somanga, Kilwa hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

TIB, municipalities ink deal

>The TIB Development Bank and the Prime Minister’s Office Regional Administration and Local Government (PMORALG) have signed a memorandum of understanding (MoU) that will see the former financing infrastructure projects at local government level.

 

9 years ago

TheCitizen

EPZA, TIB partner to mobilise resources

Export Processing Zones Authority (EPZA) and TIB Development Bank have partnered to mobilise resources for development of base infrastructure at both Bagamoyo Special Economic Zone and Kurasini Logistic Centre projects.

 

9 years ago

Mwananchi

TIB yasaini mkataba wa usimamizi na Serikali

Benki ya Maendeleo (TIB), imesaini mkataba wa kiuetendaji na Serikali, hatua inayofungua milango kwa Serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija kwa Taifa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

TIB kuendeleza eneo la Magomeni kota


NA MOHAMMED ISSA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, imesema ujenzi wa eneo la Magomeni Kota, unatarajiwa kuanza muda wowote mwaka huu.
Akizungumza na Uhuru jana, Meya wa Manispaa hiyo, Yussuph Mwenda,  alisema eneo hilo litajengwa nyumba za makazi na sehemu za biashara.
Mwenda alisema tayari Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB), imeonyesha nia ya kuliendeleza eneo hilo.
Alisema  benki hiyo itashirikiana na kampuni nyingine katika kufanya kazi hiyo. Hata hivyo, alikataa kuitaja...

 

10 years ago

Habarileo

NEEC, TIB wakubaliana kuwawezesha wajasiriamali

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB), wameingia mkataba wa kuwawezesha kwa mikopo wajasiriamali vijana wanaomaliza vyuo vikuu nchini.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA TIB YASAINI MKATABA WA KIUTENDAJI NA SERIKALI

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB Prof. William Lyakurwa (wapili kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru (wa pili kulia) wakibadilishana mikataba ya makubaliano ya kiutendaji kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mkataba huo unalenga kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija kwa taifa. Wanaoshuhudia ni pamoja na Msajili Hazina msaidizi Bw. Mwakibinga Mihalale (wa pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani