Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIB kuipiga jeki Tanesco

BENKI ya Maendeleo ya TIB imesaini makubaliano na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kuanza mradi wa ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji wa umeme kutoka Somanga, Kilwa hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto)akimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela wakati alipokuwa akimfafanulia jambo alipokuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela ( aliyesimama) akifafanua jambo mgeni rasmi...

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi   Dkt. Shukuru Kawambwa  (kushoto)akimsikiliza kwa makini  Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela  wakati alipokuwa akimfafanulia jambo alipokuwa mgeni rasmi kwenye  hafla ya uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katibu… ...

 

10 years ago

Michuzi

KEVERA AJITOA KWA VIJANA KATIKA KUIPIGA JEKI SEKTA YA MICHEZO

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera akikabidhi jezi kwa Nahodha wa Timu ya Twiga,Abuu Nido baada timu hiyo kuzishinda timu katika mechi zilizopigwa katika uwanja wa twiga Tabata Kiswani Jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wa Globu ya Jamii.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera amesema kuwa yeye ni mwanamichezo...

 

9 years ago

StarTV

Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.

Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .

 TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...

 

10 years ago

Michuzi

TIB officially transformed to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited

The Bank of Tanzania (BoT) has issued two licenses to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited, which is a designated Commercial Bank subsidiary of the former.
TIB Development Bank Managing Director, Peter Noni told the press yesterday at the 39th Dar es Salaam International Trade Fair that the licenses have been issued by BoT in June 2015 for the Development and Corporate bank to engage in development financing and commercial banking activities respectively. He said TIB...

 

9 years ago

Michuzi

UTURUKI KUIPIGA TAFU MAKUMBUSHO YA TAIFA

Na Sixmund J. Begashe.
Nchi ya Uturuki ipo tayari kuisaidia Makumbusho ya Taifa katika nyanja za Utafiti, Uhifadhi, Maonesho ya vioneshwa vya kimakumbusho na hata katika Maonesho mbali mbali ya muziki na sanaa ili kuboresha na kuendeleza shughuli mbali mbali zinazo fanywa na Makumbusho ya Taifa hapa nchini.
Ahadi hii imetolewa na Balozi wa Uturuki hapa Nchini Mh Yasemin ERALP alipo kutana na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa kwa lengo la kubadilishana mawazo ili kuona ni kwa namna gani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sasa Gaal yutayari kuipiga msasa Man U

Wana-Man United, wanamwangalia kwa karibu kocha wao mpya van Gaal, je amekuja na miujiza gani itakayoijenga upya Man United?

 

10 years ago

BBCSwahili

Apple yazindua app ya muziki kuipiga Spotify

Kampuni ya Apple imebuni programu tumizi mpya inayojumuisha maktaba ya kupeperusha muziki moja kwa moja kwenye internet.

 

9 years ago

Bongo5

Taylor Swift adaiwa kuipiga chini dili ya kutumbuiza kwenye harusi ya bilionea, ambayo ingemuingizia zaidi ya sh bilioni 4!

Muimbaji wa Marekani, Taylor Swift anadaiwa kuipiga chini dili ya kutumbuiza nyimbo 3 tu kwenye harusi ya bilionea mmoja, ambayo ingemuingizia dola milioni 2, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 4. Inasemekana kuwa Taylor alifanya uamuzi huo wa kuipotezea dili hiyo ili ahudhurie na kutumbuiza bure kwenye sherehe ya ubatizo wa mtoto wa rafiki yake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani