TIB kuipiga jeki Tanesco
BENKI ya Maendeleo ya TIB imesaini makubaliano na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kuanza mradi wa ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji wa umeme kutoka Somanga, Kilwa hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Feb
SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2qsZeXMMnei5zGXXGl6rADugbkOnekUv1C*gpcH6tX9goH6mU4g5AvmIOwHrGSJL5zySC1Zq0cp9PG9YF9bhzIAK/001.jpg)
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2qtQsmo99q1QaZar8FJUbz1zKPJ7DUab-9UUFoYrxfP-yjcMTDNVDL3jYet32932Le3TKFVscIFUSuxQQNSNgDwT/002.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsZeXMMnei5zGXXGl6rADugbkOnekUv1C*gpcH6tX9goH6mU4g5AvmIOwHrGSJL5zySC1Zq0cp9PG9YF9bhzIAK/001.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9PNX0FbBzLk/VSbXWvj3ybI/AAAAAAAHP90/3DytvKVFWY4/s72-c/20150407_181001-1.jpg)
KEVERA AJITOA KWA VIJANA KATIKA KUIPIGA JEKI SEKTA YA MICHEZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-9PNX0FbBzLk/VSbXWvj3ybI/AAAAAAAHP90/3DytvKVFWY4/s1600/20150407_181001-1.jpg)
Na Mwandishi wa Globu ya Jamii.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera amesema kuwa yeye ni mwanamichezo...
9 years ago
StarTV23 Oct
Tanesco na TIB wasaini mkataba wa dola milioni 140
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesaini mkataba wa dola milioni 140 na Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB) kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa mitambo ya umeme kutoka Somanga Kilwa hadi Kinyerezi Dar es salaam.
Mradi huo utazalisha umeme wa KV400 ambazo zitapunguza tatizo la mgao wa umeme utachukua jumla ya miaka miwili hadi kukamilika kwake .
TANESCO imesema mradi huo utasaidia mpango wa kuongeza umeme katika gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha umeme wa uhakika katika maeneo ya Lindi ,...
10 years ago
Michuzi01 Jul
TIB officially transformed to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited
TIB Development Bank Managing Director, Peter Noni told the press yesterday at the 39th Dar es Salaam International Trade Fair that the licenses have been issued by BoT in June 2015 for the Development and Corporate bank to engage in development financing and commercial banking activities respectively. He said TIB...
9 years ago
MichuziUTURUKI KUIPIGA TAFU MAKUMBUSHO YA TAIFA
Nchi ya Uturuki ipo tayari kuisaidia Makumbusho ya Taifa katika nyanja za Utafiti, Uhifadhi, Maonesho ya vioneshwa vya kimakumbusho na hata katika Maonesho mbali mbali ya muziki na sanaa ili kuboresha na kuendeleza shughuli mbali mbali zinazo fanywa na Makumbusho ya Taifa hapa nchini.
Ahadi hii imetolewa na Balozi wa Uturuki hapa Nchini Mh Yasemin ERALP alipo kutana na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa kwa lengo la kubadilishana mawazo ili kuona ni kwa namna gani...
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Sasa Gaal yutayari kuipiga msasa Man U
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Apple yazindua app ya muziki kuipiga Spotify
9 years ago
Bongo526 Aug
Taylor Swift adaiwa kuipiga chini dili ya kutumbuiza kwenye harusi ya bilionea, ambayo ingemuingizia zaidi ya sh bilioni 4!