SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto)akimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela wakati alipokuwa akimfafanulia jambo alipokuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela ( aliyesimama) akifafanua jambo mgeni rasmi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsZeXMMnei5zGXXGl6rADugbkOnekUv1C*gpcH6tX9goH6mU4g5AvmIOwHrGSJL5zySC1Zq0cp9PG9YF9bhzIAK/001.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE
9 years ago
Habarileo23 Oct
TIB kuipiga jeki Tanesco
BENKI ya Maendeleo ya TIB imesaini makubaliano na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kuanza mradi wa ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji wa umeme kutoka Somanga, Kilwa hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9PNX0FbBzLk/VSbXWvj3ybI/AAAAAAAHP90/3DytvKVFWY4/s72-c/20150407_181001-1.jpg)
KEVERA AJITOA KWA VIJANA KATIKA KUIPIGA JEKI SEKTA YA MICHEZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-9PNX0FbBzLk/VSbXWvj3ybI/AAAAAAAHP90/3DytvKVFWY4/s1600/20150407_181001-1.jpg)
Na Mwandishi wa Globu ya Jamii.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera amesema kuwa yeye ni mwanamichezo...
10 years ago
Habarileo23 Feb
Serikali kuipa nguvu NACTE
SERIKALI imesema itaendelea kusaidia upatikanaji wa rasilimali watu na fedha ili kuliwezesha Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kutekeleza malengo yake ya kukuza stadi na maarifa kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu shule za msingi na za sekondari.
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.
11 years ago
MichuziSerikali yaahidi ushirikiano na Viongozi wa Dini
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Serikali yaahidi kutomwonea mfanyabiashara yeyote
SERIKALI imesema haina nia ya kuonea wafanyabiashara, lakini ikaonya itachukua hatua kali za kisheria kwa mawakala wa forodha wasio waaminifu na watakaokiuka taratibu.