Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto)akimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela wakati alipokuwa akimfafanulia jambo alipokuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela ( aliyesimama) akifafanua jambo mgeni rasmi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi   Dkt. Shukuru Kawambwa  (kushoto)akimsikiliza kwa makini  Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt.Primus Nkwela  wakati alipokuwa akimfafanulia jambo alipokuwa mgeni rasmi kwenye  hafla ya uzinduzi wa jengo jipya la Mitihani lililopo makao makuu ya ofisi hiyo Mikocheni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katibu… ...

 

9 years ago

Habarileo

TIB kuipiga jeki Tanesco

BENKI ya Maendeleo ya TIB imesaini makubaliano na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kuanza mradi wa ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji wa umeme kutoka Somanga, Kilwa hadi Kinyerezi, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

KEVERA AJITOA KWA VIJANA KATIKA KUIPIGA JEKI SEKTA YA MICHEZO

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera akikabidhi jezi kwa Nahodha wa Timu ya Twiga,Abuu Nido baada timu hiyo kuzishinda timu katika mechi zilizopigwa katika uwanja wa twiga Tabata Kiswani Jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wa Globu ya Jamii.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Scolastica Kevera amesema kuwa yeye ni mwanamichezo...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kuipa nguvu NACTE

SERIKALI imesema itaendelea kusaidia upatikanaji wa rasilimali watu na fedha ili kuliwezesha Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) kutekeleza malengo yake ya kukuza stadi na maarifa kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu shule za msingi na za sekondari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi

Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yaahidi ushirikiano na Viongozi wa Dini

Mwenyekiti wa maandalizi ya Kongamano la Viongozi wa Dini mikoa ya Lindi na Mtwara MohamedSenani akiwakaribisha wajumbe katika kongamano la viongozi hao katika ukumbi wa VETA mjini Mtwara. Kongamano ambalo viongozi hao walijadiliana juu ya rasilimali za gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo ya Tanzania. Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizungumza na viongozi wa dini kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara wakati wa kongamano la viongozi hao lililohusu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kutomwonea mfanyabiashara yeyote

SERIKALI imesema haina nia ya kuonea wafanyabiashara, lakini ikaonya itachukua hatua kali za kisheria kwa mawakala wa forodha wasio waaminifu na watakaokiuka taratibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani