Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi
Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y92tsW6pdB8/Xlp3X1mFvSI/AAAAAAALgI4/4b0Avu5wRFkd-oHEWVtX9hh1ezvr3NjaACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
RC Ole Sendeka awapa mwezi mmoja viongozi kuwatafuta wanafunzi 708
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji,maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza,vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Sendeka ameonyesha Kukasirishwa na kitendo cha wanafunzi hao 708 waliofaulu kidato cha kwanza na kushindwa kujiunga na masomo.
Ametoa agizo hilo katika kikao cha tathimini ya elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NszFa7NTsoI/Xkg-6HN82hI/AAAAAAALdhs/RzCmMJiYjiscFub-uKaQLNU0u0W6ws7DwCLcBGAsYHQ/s72-c/17703646_303.jpg)
Kampuni ya Zola yaahidi kutoa mitambo kwa wanafunzi
Ahadi hiyo ilitolewa jana Jijini Arushawakati wa uzinduzi wa ofisi ya Zola mkoani Arusha,Mkurugenzi wa Kampuni ya Zola Afrika Mashariki Yusuph Nassor alisema serikali ya sasa imejilota mumsaidia mtoto kielimu kwa kutoa elimu bure, hivyo na wao wanaunga mkono jitihada hizo.
Licha ya kusaidia sekta ya elimu...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.
10 years ago
Vijimambo22 Feb
SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2qsZeXMMnei5zGXXGl6rADugbkOnekUv1C*gpcH6tX9goH6mU4g5AvmIOwHrGSJL5zySC1Zq0cp9PG9YF9bhzIAK/001.jpg)
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2qtQsmo99q1QaZar8FJUbz1zKPJ7DUab-9UUFoYrxfP-yjcMTDNVDL3jYet32932Le3TKFVscIFUSuxQQNSNgDwT/002.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Serikali yaahidi kuboresha miundombinu DIT
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesema serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kutokana na taasisi hiyo kutoa mchnago muhimu kwa taifa. Mbali...
9 years ago
Habarileo31 Dec
Serikali yaahidi kutomwonea mfanyabiashara yeyote
SERIKALI imesema haina nia ya kuonea wafanyabiashara, lakini ikaonya itachukua hatua kali za kisheria kwa mawakala wa forodha wasio waaminifu na watakaokiuka taratibu.
11 years ago
MichuziSerikali yaahidi ushirikiano na Viongozi wa Dini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qsZeXMMnei5zGXXGl6rADugbkOnekUv1C*gpcH6tX9goH6mU4g5AvmIOwHrGSJL5zySC1Zq0cp9PG9YF9bhzIAK/001.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUIPIGA JEKI NACTE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s72-c/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUONGEZEA MTAJI BENKI YA TADB
![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s400/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo wilayani Manyoni, Singida wakati alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kuchakata mbegu za Alizeti cha Qstek.
Akizungumza kiwandani hapo, Waziri Kairuki ameipongeza Benki ya Kilimo kwa namna ambavyo imekua ikiwainua wakulima na wawekezaji...