Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YAAHIDI KUONGEZEA MTAJI BENKI YA TADB



  SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo wilayani Manyoni, Singida wakati alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kuchakata mbegu za Alizeti cha Qstek.

Akizungumza kiwandani hapo, Waziri Kairuki ameipongeza Benki ya Kilimo kwa namna ambavyo imekua ikiwainua wakulima na wawekezaji...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaahidi kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha hali ya magereza nchini

Wafanyakazi wa Benki ya Exim tawi la Mwanza na wawakilishi wa gereza la Butimba wakiwa katika picha ya pamoja, muda mfupi baada ya Benki hiyo kukabidhi vifaa vya usafi  kwa gereza la Butimba lililopo jijini Mwanza hivi karibuni. Mchango huo ni sehemu ya shughuli za kibenki za kijamii lakini pia ukilenga kusaidia wafungwa kubadili tabia.
Exim Bank imeahidi kuendelea kusaidia juhudi za serikali katika kuboresha hali ya magereza nchini, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kibenki za kijamii....

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) yafanya Bonanza la Nanenane mkoani Lindi

1

Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bi. Miriam Mtima akizungumza wakati wa kufungua bonanza la Nanenane lilioandaliwa na benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB), jana mkoani Lindi.

2

Mkurugenzi wa Mikopo wa benki ya Maendeleo ya Wakulima, Bwana Robert Paschal akitoa hotuba ya ufunguzi wakati wa uzinduzi wa bonanza la Nanenane katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi jana.

4

Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bi Miriam Mtima akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa bonanza la...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI AIPONGEZA BENKI YA TADB KWA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI WAZAWA

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justine akizungumza mbele ya Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa kiwanda cha Qstek wilayani Manyoni, Singida leo.

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AZINDUA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA (TADB) DAR ES SALAAM LEO

 Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akihutubia wakati akizindua Benki ya Maendeleo ya Kilimo Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya na Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira. Rais Kikwete alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa benki hiyo. Uzinduzi wa awamu ya pili wa benki hiyo utafanyika kesho kwenye maonyesho ya Nanenane kitaifa mkoani Lindi.  Rais Jakaya Kikwete, akivuta pazia kuashiria...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Karani’ wa benki anayeuza figo yake apate mtaji

>Si ajabu kusikia mtu amejiua kwa sababu tu ya ugumu wa maisha. Wengi wanafikia uamuzi huo baada ya kuhisi hawana msaada mwingine wa kupunguza makali ya maisha. Hata hivyo, kujiua siyo njia sahihi ya kupambana na changamoto.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATAKA MIKOPO YA TADB KUWA CHACHU KWA WAVUVI KUANZISHA VIWANDA VIDOGO


Walioshika mfano wa hundi: Kutoka kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TADB Bw. Japhet Justine, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Zilagula Bw. Joram Yuda na Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Bw. Steven Michael

……………………………………………………………………………………..

Na. Edward Kondela

Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YAAHIDI KUSAPOTI ZAIDI MICHEZO VISIWANI ZANZIBAR

Zanzibar, Benki ya Exim Tanzania imeahidi kuunganisha nguvu zaidi na mamlaka za kimichezo visiwani Zanzibar katika kuhakikisha sekta ya michezo visiwani humo inakua zaidi.
Hatua hiyo ya benki ya Exim ilitangazwa na Meneja wa tawi la benki hiyo visiwani humo Bw.Mwinyimkuu Said Ngalima wakati wa kilele cha mashindano ya soka yaliyolenga kuibua vipaji vya mchezo huo yaliyohitimishwa kwenye Uwanja wa Abeid Amani Karume, wilayani Mwanakwerekwe kwa udhamini wa benki hiyo.
“ Kutokana na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi

Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani