‘Karani’ wa benki anayeuza figo yake apate mtaji
>Si ajabu kusikia mtu amejiua kwa sababu tu ya ugumu wa maisha. Wengi wanafikia uamuzi huo baada ya kuhisi hawana msaada mwingine wa kupunguza makali ya maisha. Hata hivyo, kujiua siyo njia sahihi ya kupambana na changamoto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s72-c/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUONGEZEA MTAJI BENKI YA TADB
![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s400/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo wilayani Manyoni, Singida wakati alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kuchakata mbegu za Alizeti cha Qstek.
Akizungumza kiwandani hapo, Waziri Kairuki ameipongeza Benki ya Kilimo kwa namna ambavyo imekua ikiwainua wakulima na wawekezaji...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
FIGO: Matatizo yake, tishio kwa maisha ya Watanzania
>Hapa duniani kuna maradhi aina nyingi yanayotisha, yakisumbua binadamu, kuwatia ulemavu hata kuwa chanzo cha uchumi kutetereka, wakati mwingine kusababisha kifo. Miongoni mwa maradhi hayo ni kuharibika kwa figo.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Hakimu, karani kortini kwa rushwa ya 50,000/-
NA SYLVIA SEBASTIAN
HAKIMU wa Mahakama ya Mwanzo Buguruni, Dar es Salaam, Grace Kivelege na karani wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Ilala, kujibu mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya sh. 50,000.
Hakimu Grace na Karani Rose Kuhima, walifikishwa mahakamani hapo jana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Wakili wa TAKUKURU, Devota Mihayo, aliwasomea washitakiwa hao mashitaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Papa Francis akutana na karani aliyekataa ndoa za jinsia moja
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameripotiwa kukutana na Kim Daviz karani wa Kentucky ambaye alifungwa jela kwa kukataa kutoa leseni za ndoa za wapenzi wa jinsia moja,wakati wa ziara yake huko Marekani.
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Benki ya HSBC kupunguza matumizi yake
Mojawepo ya benki kubwa zaidi duniani ya HSBC imetangaza taratibu ya kutekeleza zoezi la kupunguza matumizi yake.
10 years ago
Habarileo17 Dec
Maalim Seif ataka Zanzibar iwe na Benki Kuu yake
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema ipo haja kwa Zanzibar kuwa na chombo chake cha maamuzi ya fedha kitakachoratibu moja kwa moja mwenendo wa uchumi wa Zanzibar.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4HjcdkP3ogc/VoTWsXxSCII/AAAAAAADEXs/kiCvWXqOOlk/s72-c/8d3fExim-Bank-Tanzania.jpg)
Benki ya Exim yafunga mauzo ya dhamana yake kwa mafanikio makubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4HjcdkP3ogc/VoTWsXxSCII/AAAAAAADEXs/kiCvWXqOOlk/s320/8d3fExim-Bank-Tanzania.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lyqaAhZ76QA/VmVI0BnfhEI/AAAAAAAIKnU/RjN-F_zjorQ/s72-c/DRAW%2B2%2B.jpg)
BENKI YA EXIM YAENDESHA DROO YA MWISHO YA KAMPENI YAKE YA AKAUNTI YA MALENGO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-lyqaAhZ76QA/VmVI0BnfhEI/AAAAAAAIKnU/RjN-F_zjorQ/s640/DRAW%2B2%2B.jpg)
9 years ago
MichuziBenki ya Exim yakabidhi gari kwa mshindi wa kampeni yake ya akaunti ya malengo
Benki ya Exim Tanzania imekabidhi zawadi kuu kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania