Benki ya Exim yakabidhi gari kwa mshindi wa kampeni yake ya akaunti ya malengo
Meneja Bidhaa wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Aloyse Maro (kushoto) akikabidhi mfano wa ufunguo wa gari kwa Meneja Mahusiano Msaidizi wa benki hiyo Bi. Naomi Sanga (katikati) ambaye alimuwakilisha mshindi mkuu wa kampeni ya akaunti ya malengo ya benki hiyo aliyejishindia gari aina ya Toyota IST kwenye hafla fupi ya makabidhiani iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Anaeshuhudia ni Meneja Masoko wa Benki hiyo Bw Abdulrahman Nkondo.
Benki ya Exim Tanzania imekabidhi zawadi kuu kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UhKyWtnziGA/VbjAq8hNXEI/AAAAAAAC9DA/C-WqAmop7Y4/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhKyWtnziGA/VbjAq8hNXEI/AAAAAAAC9DA/C-WqAmop7Y4/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lyqaAhZ76QA/VmVI0BnfhEI/AAAAAAAIKnU/RjN-F_zjorQ/s72-c/DRAW%2B2%2B.jpg)
BENKI YA EXIM YAENDESHA DROO YA MWISHO YA KAMPENI YAKE YA AKAUNTI YA MALENGO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-lyqaAhZ76QA/VmVI0BnfhEI/AAAAAAAIKnU/RjN-F_zjorQ/s640/DRAW%2B2%2B.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6xAytUAla6U/Vf_nfscBaJI/AAAAAAAH6gA/K0RYn3prS-E/s72-c/EXIM.jpg)
BENKI YA EXIM YAPATA MSHINDI WA DROO YA PILI AKAUNTI YA MALENGO
![](http://2.bp.blogspot.com/-6xAytUAla6U/Vf_nfscBaJI/AAAAAAAH6gA/K0RYn3prS-E/s640/EXIM.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VPsGcQZ8zg8/VbXne8lf4AI/AAAAAAAC8_4/eVQ0mbvfZxY/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YAENDESHA DROO YA KWANZA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VPsGcQZ8zg8/VbXne8lf4AI/AAAAAAAC8_4/eVQ0mbvfZxY/s640/unnamed.jpg)
Benki ya Exim Tanzania imeendesha droo yake ya kwanza ya kampeni ya akaunti ya malengo inayolenga...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni kuhamasisha akaunti ya Amana ya malengo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s320/unnamed.jpg)
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma lililopita, Meneja Bidhaa wa Benki hiyo, Bw Aloyse Maro alisema lengo kuu la kampeni hiyo ni kukuza utamaduni wa kuweka akiba hapa nchini ili kuongeza tija kwenye...
11 years ago
MichuziBenki ya NBC yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya Weka Upewe
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu
![Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0348.jpg)
![Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0350.jpg)
11 years ago
MichuziNBC yakabidhi zawadi ya Gari kwa mshindi wa promosheni ya Weka Upewe
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Enhance Auto yakabidhi Gari kwa mshindi wa shindano la matumizi bora ya mitandao ya kijamii
![](http://3.bp.blogspot.com/-5oem3JbZvjc/Vm1Za8s6ZtI/AAAAAAAAm8U/SeddYaogem0/s640/3.jpg)
Kamanda wa Kikosi Usalama barabarani, Mohamed Mpinga (kulia) akimkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Surf, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jackson Kapongo aliyeshinda kupitia mchezo wa Matumizi bora ya Mitandao ya Kijamii iliyoendeshwa na Kampuni ya Enhance Auto ya Jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt.(Picha na Father Kidevu Blog).
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZN1_LDWV9UQ/Vm1q-91-1eI/AAAAAAAAm8k/KXsCJRATPfA/s640/2A.jpg)
Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt akionesha stika za kuhamasisha usalama barabarani...