BENKI YA EXIM YAAHIDI KUSAPOTI ZAIDI MICHEZO VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTaUB4JoeDo/VYPTp69BF_I/AAAAAAAHhUo/nP1xwQPaXYk/s72-c/EXIM%2BZAINZIBAR%2B3.jpg)
Zanzibar, Benki ya Exim Tanzania imeahidi kuunganisha nguvu zaidi na mamlaka za kimichezo visiwani Zanzibar katika kuhakikisha sekta ya michezo visiwani humo inakua zaidi.
Hatua hiyo ya benki ya Exim ilitangazwa na Meneja wa tawi la benki hiyo visiwani humo Bw.Mwinyimkuu Said Ngalima wakati wa kilele cha mashindano ya soka yaliyolenga kuibua vipaji vya mchezo huo yaliyohitimishwa kwenye Uwanja wa Abeid Amani Karume, wilayani Mwanakwerekwe kwa udhamini wa benki hiyo.
“ Kutokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LmMLQXTs0A4/VEYh0rgNhbI/AAAAAAACtIE/UbKWIApCpC4/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yaahidi kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha hali ya magereza nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-LmMLQXTs0A4/VEYh0rgNhbI/AAAAAAACtIE/UbKWIApCpC4/s1600/unnamed.jpg)
Exim Bank imeahidi kuendelea kusaidia juhudi za serikali katika kuboresha hali ya magereza nchini, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kibenki za kijamii....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MjDS0CqbcPE/U9cqAylHuVI/AAAAAAACmbo/JvKo2IGAWco/s72-c/EXIM+IFTAR+PIX+3.jpg)
BENKI YA EXIM YAWAANDALIA FUTARI WATEJA WAKE ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-MjDS0CqbcPE/U9cqAylHuVI/AAAAAAACmbo/JvKo2IGAWco/s1600/EXIM+IFTAR+PIX+3.jpg)
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Zanzibar, Mhe. Nassor Mazrui (kulia) akizungumza wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Benki ya Exim Tanzania Tawi la Zanzibar kwa ajili ya wateja wake hivi karibuni. Wengine kulia kwake ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na wateja walioalikwa katika tukio hilo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BIuCAVbVeuo/U9cqA0h3z1I/AAAAAAACmbs/6jaVNkZfO4M/s1600/EXIM+IFTAR+PIX+2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MnitvqkivBs/Vc2qtC6FCtI/AAAAAAAC9o8/5ar5B7gwy-w/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM TANZANIA YAFUNGUA TAWI JIPYA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-MnitvqkivBs/Vc2qtC6FCtI/AAAAAAAC9o8/5ar5B7gwy-w/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar
Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s72-c/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUONGEZEA MTAJI BENKI YA TADB
![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s400/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo wilayani Manyoni, Singida wakati alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kuchakata mbegu za Alizeti cha Qstek.
Akizungumza kiwandani hapo, Waziri Kairuki ameipongeza Benki ya Kilimo kwa namna ambavyo imekua ikiwainua wakulima na wawekezaji...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Exim: Wekeni fedha benki
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Benki ya Exim yafungua tawi
11 years ago
Habarileo27 Apr
Kesi ya wafanyakazi 14 benki ya Exim yasuasua
KESI inayowakabili wafanyakazi 14 wa benki ya Exim tawi la jijini Arusha kwa tuhuma za kuibia benki hiyo zaidi ya Sh bilioni 7.6, inaendelea kusuasua.