BENKI YA EXIM TANZANIA YAFUNGUA TAWI JIPYA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-MnitvqkivBs/Vc2qtC6FCtI/AAAAAAAC9o8/5ar5B7gwy-w/s72-c/unnamed.jpg)
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania Bw Selemani Ponda (wa pili kulia) akizundua tawi jipya la benki hiyo lililopo eneo la Mwanakwerekwe, Zanzibar wakati wa hafla fupi ya uzinduzi iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na wageni waalikwa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Benki ya Exim yafungua tawi
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Exim yafungua tawi Lumumba
BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kutanua wigo kwa wateja wake nchini kwa kufungua tawi jipya mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam. Tawi hilo la Ushirika linaongeza idadi ya mtandao...
11 years ago
Mwananchi23 May
FNB yafungua tawi jipya Kariakoo
10 years ago
KwanzaJamii04 Sep
AL-QAEDA YAFUNGUA TAWI JIPYA INDIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8AvAXfoQfIgtC*UGqe*u0p-p-tliRRxQB*2TL5Pl3RmiwupFPL5Ixsu0bWywNWVxAVsLUHtp19uAfP9Ukxpe1k/1.jpg?width=650)
TIGO YAFUNGUA TAWI JIPYA LINDI MJINI
11 years ago
MichuziNMB YAFUNGUA TAWI JIPYA MKOANI KIGOMA
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw.Ramadhani Maneno alisema tawi hilo litasaidia...
10 years ago
MichuziKampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Benki yafungua tawi la wateja wakubwa Arusha
BENKI ya Exim imezindua tawi mjini Arusha linalolenga kuwahudumia wateja wake wakubwa ndani ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki,...
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Waziri Mkuu Majaliwa afungua tawi jipya la Benki ya Posta mjini Songea
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, (wa pili kulia), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Uratibu, na Watu Wenye Ulemavu), Bi. Jenista Mhagama, na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Bw. Sabasaba Moshingi, (wa kwanza kushoto) wakikata utepe kuashiria kufunguliwa kwa tawi jipya la benki hiyo mjini Songea leo Januari 4, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kadi ya akaunti yake ya Benki ya Posta Tanzania aliyokabidhiwa baada ya kuifungua alipokuwa akifungua tawi...