NMB YAFUNGUA TAWI JIPYA MKOANI KIGOMA
Benki ya NMB imezindua rasmi tawi lake jipya mjini Kigoma. Uzinduzi wa tawi hilo lililoko katika jengo la Bima barabara ya Lumumba katika jengo la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ulifanyika mwishoni mwa wiki. Aidha, tawi hilo lililo mkabala na Soko Kuu la Kigoma, limelenga kutoa huduma kwa watu binafsi na wakazi wengi wa maeneo hayo hususan wafanya biashara ndogo ndogo.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw.Ramadhani Maneno alisema tawi hilo litasaidia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h31cQYj0qdo/Uvh25yMqwOI/AAAAAAAFMBs/254XcoXP0jo/s72-c/image001.jpg)
NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA HIMO, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-h31cQYj0qdo/Uvh25yMqwOI/AAAAAAAFMBs/254XcoXP0jo/s1600/image001.jpg)
10 years ago
KwanzaJamii04 Sep
AL-QAEDA YAFUNGUA TAWI JIPYA INDIA
11 years ago
Mwananchi23 May
FNB yafungua tawi jipya Kariakoo
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
NMB yafungua tawi Tabata
BENKI ya NMB imefungua tawi jipya maeneo ya Tabata, Barabara ya Mandela, Dar es Salaam. Ufunguzi wa tawi hilo la 20 jijini hapa umekuja ili kuongeza wigo wa matawi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8AvAXfoQfIgtC*UGqe*u0p-p-tliRRxQB*2TL5Pl3RmiwupFPL5Ixsu0bWywNWVxAVsLUHtp19uAfP9Ukxpe1k/1.jpg?width=650)
TIGO YAFUNGUA TAWI JIPYA LINDI MJINI
10 years ago
MichuziNMB Yafungua Tawi maalumu Oysterbay
![](http://3.bp.blogspot.com/-FmQwAtRM9aQ/VV33Cnmi1SI/AAAAAAAHY44/bliYV-XYfog/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MLucSuML5fI/VUHkNxvYc1I/AAAAAAAHUN8/ZHi7m3v6Nd8/s72-c/No4.jpg)
NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MLucSuML5fI/VUHkNxvYc1I/AAAAAAAHUN8/ZHi7m3v6Nd8/s1600/No4.jpg)
Kufunguliwa kwa tawi la Singida sasa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
TPB yafungua tawi Kigoma
BENKI ya Posta Tanzania (TPB) imezindua tawi jipya mjini Kigoma katika jengo la Mamlaka ya Mapato (TRA). Akizindua tawi hilo mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi...