AL-QAEDA YAFUNGUA TAWI JIPYA INDIA
Kiongozi wa kundi la Al-Qaeda, Ayman al-Zawahir Kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Ayman al-Zawahiri amesema kuwa wamefungua tawi jipya la mtandao huo wa kigaidi nchini India ikiwa ni jitihada za kuhakikisha wanapandisha bendera za Jihad kusini mwa bara la Asia. Taarifa zinasema kuwa picha za video za tangazo hilo zinasema kuwa hiyo ni hatua ya kuimarisha dola ya Kiislam ambao kwa sasa unashikilia eneo kubwa la Iraq na Syria. Zawahiri amesema kuwa nguvu mpya ya mtandao inalenga...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
FNB yafungua tawi jipya Kariakoo
11 years ago
MichuziNMB YAFUNGUA TAWI JIPYA MKOANI KIGOMA
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw.Ramadhani Maneno alisema tawi hilo litasaidia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8AvAXfoQfIgtC*UGqe*u0p-p-tliRRxQB*2TL5Pl3RmiwupFPL5Ixsu0bWywNWVxAVsLUHtp19uAfP9Ukxpe1k/1.jpg?width=650)
TIGO YAFUNGUA TAWI JIPYA LINDI MJINI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MnitvqkivBs/Vc2qtC6FCtI/AAAAAAAC9o8/5ar5B7gwy-w/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM TANZANIA YAFUNGUA TAWI JIPYA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-MnitvqkivBs/Vc2qtC6FCtI/AAAAAAAC9o8/5ar5B7gwy-w/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Al_Qaeda yafungua tawi India
10 years ago
MichuziKampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8mxIt0kQVpw/UxR05KjDFjI/AAAAAAAFQyQ/4M6q8iOOU88/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Exim yafungua tawi Lumumba
BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kutanua wigo kwa wateja wake nchini kwa kufungua tawi jipya mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam. Tawi hilo la Ushirika linaongeza idadi ya mtandao...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Benki ya Exim yafungua tawi