Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya Exim yafungua tawi

Benki ya Exim imezindua tawi mkoani Arusha kwa ajili ya huduma kwa wateja wakubwa ndani ya mkoa huo na maeneo ya jirani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM TANZANIA YAFUNGUA TAWI JIPYA ZANZIBAR

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania Bw Selemani Ponda (wa pili kulia) akizundua tawi jipya la benki hiyo lililopo eneo la Mwanakwerekwe, Zanzibar wakati wa hafla fupi ya uzinduzi iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na wageni waalikwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Exim yafungua tawi Lumumba

BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kutanua wigo kwa wateja wake nchini kwa kufungua tawi jipya mtaa wa Lumumba, jijini Dar es Salaam. Tawi hilo la Ushirika linaongeza idadi ya mtandao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Benki yafungua tawi la wateja wakubwa Arusha

BENKI ya Exim imezindua tawi mjini Arusha linalolenga kuwahudumia wateja wake wakubwa ndani ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki,...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'

 Benki ya Exim Tanzania hii leo imetangaza washindi watano wa mwezi katika kampeni yake ya 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard'. Kampeni hiyo inalenga kuhamasisha wateja wa benki ya Exim kutumia kadi zao za Mastercard katika manunuzi ya mtandaoni au kufanya malipo kupitia mashine za malipo (POS) katika maduka mbalimbali na maeneo mengine nchini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza  wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al_Qaeda yafungua tawi India

Kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Ayman al-Zawahiri amesema wamefungua tawi jipya India.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NMB yafungua tawi Tabata

BENKI ya NMB imefungua tawi jipya maeneo ya Tabata, Barabara ya Mandela, Dar es Salaam. Ufunguzi wa tawi hilo la 20 jijini hapa  umekuja ili kuongeza wigo wa matawi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPB yafungua tawi Kigoma

BENKI ya Posta Tanzania (TPB) imezindua tawi jipya mjini Kigoma katika jengo la Mamlaka ya Mapato (TRA). Akizindua tawi hilo mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi...

 

11 years ago

Mwananchi

FNB yafungua tawi jipya Kariakoo

Katika kukuza na kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakati, Benki ya FNB Tanzania imefungua tawi jipya Kariakoo, Jijini Dar es Salaam ambalo litakuwa na kazi ya kutoa huduma za kibenki kwa watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara wadogo na wa kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani