NMB yafungua tawi Tabata
BENKI ya NMB imefungua tawi jipya maeneo ya Tabata, Barabara ya Mandela, Dar es Salaam. Ufunguzi wa tawi hilo la 20 jijini hapa umekuja ili kuongeza wigo wa matawi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MLucSuML5fI/VUHkNxvYc1I/AAAAAAAHUN8/ZHi7m3v6Nd8/s72-c/No4.jpg)
NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA SINGIDA
Benki ya NMB imefungua rasmi tawi lake jipya la Singida. Tawi hilo litakuwa na huduma zote za kibenki kama yalivyo matawi mengine ya NMB nchini kote. Tawi hili limefunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mh. Dk. Perseko Vincent Kone.
Mkuu wa Mkoa wa Singida- Mh. Dk. Perseko Vincent Kone (kati) akikata utepe kuzindua rasmi tawi la Singida, kushoto ni Meneja wa NMB Kanda ya Kati Bw. Ole Loibanguti na Meneja wa NMB tawi la Singida- Bi. Christine Mwangoma.
Kufunguliwa kwa tawi la Singida sasa...
![](http://2.bp.blogspot.com/-MLucSuML5fI/VUHkNxvYc1I/AAAAAAAHUN8/ZHi7m3v6Nd8/s1600/No4.jpg)
Kufunguliwa kwa tawi la Singida sasa...
10 years ago
MichuziNMB Yafungua Tawi maalumu Oysterbay
![](http://3.bp.blogspot.com/-FmQwAtRM9aQ/VV33Cnmi1SI/AAAAAAAHY44/bliYV-XYfog/s640/2.jpg)
11 years ago
MichuziNMB YAFUNGUA TAWI JIPYA MKOANI KIGOMA
Benki ya NMB imezindua rasmi tawi lake jipya mjini Kigoma. Uzinduzi wa tawi hilo lililoko katika jengo la Bima barabara ya Lumumba katika jengo la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ulifanyika mwishoni mwa wiki. Aidha, tawi hilo lililo mkabala na Soko Kuu la Kigoma, limelenga kutoa huduma kwa watu binafsi na wakazi wengi wa maeneo hayo hususan wafanya biashara ndogo ndogo.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw.Ramadhani Maneno alisema tawi hilo litasaidia...
Akizungumza katika uzinduzi huo, Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Bw.Ramadhani Maneno alisema tawi hilo litasaidia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lXSRMkdDRcA/UvKpBHLnlBI/AAAAAAAFLFI/hV1N0Y-70CE/s72-c/unnamed+(14).jpg)
NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA USA RIVER-ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lXSRMkdDRcA/UvKpBHLnlBI/AAAAAAAFLFI/hV1N0Y-70CE/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5R2W8fTLZcU/UvKpAy8nTRI/AAAAAAAFLFE/4fS-jvfMFJM/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h31cQYj0qdo/Uvh25yMqwOI/AAAAAAAFMBs/254XcoXP0jo/s72-c/image001.jpg)
NMB YAFUNGUA RASMI TAWI LA HIMO, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-h31cQYj0qdo/Uvh25yMqwOI/AAAAAAAFMBs/254XcoXP0jo/s1600/image001.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WSHN5eW16wU/U3vZjHFikOI/AAAAAAAFkAo/WlewUDjsrMs/s72-c/unnamed+(14).jpg)
NMB Bank yafungua tawi la Bunge mjini dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-WSHN5eW16wU/U3vZjHFikOI/AAAAAAAFkAo/WlewUDjsrMs/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u0_ZF3beSho/U3vZjUv5aPI/AAAAAAAFkAw/0gsd-rj-tcA/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlp0Vk2C3MI/U3vZjqhf6fI/AAAAAAAFkAs/aJUFE-lE8wQ/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GEpjBCKbJ7M/U3vZkRv-4lI/AAAAAAAFkA4/25fXLNch5Kk/s1600/unnamed+(17).jpg)
5 years ago
MichuziNMB yafungua tawi la 225 ikiahidi neema kwa wakulima, wafugaji
Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku ikitangaza neema ya huduma bora na mikopo nafuu kwa wananchi wakiwemo wakulima, wafugaji na wavuvi kusaidia shughuli za kiuchumi.
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...
5 years ago
CCM BlogNMB YAFUNGUA TAWI LA 225 IKIAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI
Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku ikitangaza neema ya huduma bora na mikopo nafuu kwa wananchi wakiwemo wakulima, wafugaji na wavuvi kusaidia shughuli za kiuchumi.
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10