Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Ole Sendeka awapa mwezi mmoja viongozi kuwatafuta wanafunzi 708

Na Amiri Kilagalila, Njombe

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji,maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza,vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Sendeka ameonyesha Kukasirishwa na kitendo cha wanafunzi hao 708 waliofaulu kidato cha kwanza na kushindwa kujiunga na masomo.

Ametoa agizo hilo katika kikao cha tathimini ya elimu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi

Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.

 

11 years ago

IPPmedia

Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka


IPPmedia
Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka
IPPmedia
Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has urged donors who fund different developmental projects in the district to disclose their sources of funding, in an effort to refrain from the use of 'dirty money'. The MP issued the directive at the weekend during the ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk.Nagu, Ole Sendeka lawamani

HALI ya hewa kisiasa imechafuka Babati, Manyara.

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Vijimambo

OLE SENDEKA AKANUSHA KUHAMIA CHADEMA

Mahmoud Ahmad Arusha
Uvumi ulioenezwa na mitandao ya kijamii kuwa mh.Christopher Ole Sendeka anahamia chadema ameikanusha na kusema kuwa haina tija na niupotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muuumini wa chama cha Mapinduzi wala hajaona chama mbadala zaidi ya chama hicho.
Sendeka ameyasema hayo leo wakati akiongea na vyombo vya habari jijini hapa na kuwataka wanaoeneza kuacha mara moja kumuhusisha na kuhamia kwenye chama hicho kwani yeye ni muumini wa CCM.
Alisema kuwa hajaona chama...

 

11 years ago

Mwananchi

SMZ yapinga kauli ya Ole Sendeka

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imekataa pendekezo la Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (CCM) aliyetaka Hati ya Muungano iendelee kuwa siri na kuweka bayana kuwa nyaraka hiyo iko wazi kwa mtu yoyote.

 

10 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi

Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema watu wote waliohusika katika kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow lazima wawajibishwe, huku akimtetea Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kueleza kuwa hastahili kuwajibika kwa kuwa uwajibikaji wa sakata hilo siyo wa pamoja.

 

11 years ago

TheCitizen

Surprise as Ole Sendeka salutes bitter rival

Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has praised his Singida East counterpart, Mr Tundu Lissu, for a job well done in the Constituent Assembly.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ole Sendeka akoleza moto fedha za Escrow

MBUNGE wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM), amezidi kukoleza moto wa sakata la uchotwaji fedha za akaunti ya Tegeta Escrow, dola milioni 250 za Marekani, akisema serikali inapaswa kuweka ukweli...

 

9 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka: Sumaye ameonyesha udhaifu kwenda Ukawa

Mgombea ubunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ameonyesha udhaifu kisiasa kwa kuhamia upinzani kwa kuwa aliapiza Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa akipitishwa anahama chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani