RC Ole Sendeka awapa mwezi mmoja viongozi kuwatafuta wanafunzi 708
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y92tsW6pdB8/Xlp3X1mFvSI/AAAAAAALgI4/4b0Avu5wRFkd-oHEWVtX9hh1ezvr3NjaACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji,maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza,vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Sendeka ameonyesha Kukasirishwa na kitendo cha wanafunzi hao 708 waliofaulu kidato cha kwanza na kushindwa kujiunga na masomo.
Ametoa agizo hilo katika kikao cha tathimini ya elimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi
11 years ago
IPPmedia21 Jan
Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka
IPPmedia
IPPmedia
Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has urged donors who fund different developmental projects in the district to disclose their sources of funding, in an effort to refrain from the use of 'dirty money'. The MP issued the directive at the weekend during the ...
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
10 years ago
Vijimambo31 Jul
OLE SENDEKA AKANUSHA KUHAMIA CHADEMA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/index19.jpg)
Uvumi ulioenezwa na mitandao ya kijamii kuwa mh.Christopher Ole Sendeka anahamia chadema ameikanusha na kusema kuwa haina tija na niupotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muuumini wa chama cha Mapinduzi wala hajaona chama mbadala zaidi ya chama hicho.
Sendeka ameyasema hayo leo wakati akiongea na vyombo vya habari jijini hapa na kuwataka wanaoeneza kuacha mara moja kumuhusisha na kuhamia kwenye chama hicho kwani yeye ni muumini wa CCM.
Alisema kuwa hajaona chama...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
SMZ yapinga kauli ya Ole Sendeka
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi
11 years ago
TheCitizen10 Mar
Surprise as Ole Sendeka salutes bitter rival
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Ole Sendeka akoleza moto fedha za Escrow
MBUNGE wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM), amezidi kukoleza moto wa sakata la uchotwaji fedha za akaunti ya Tegeta Escrow, dola milioni 250 za Marekani, akisema serikali inapaswa kuweka ukweli...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Ole Sendeka: Sumaye ameonyesha udhaifu kwenda Ukawa