Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taylor Swift adaiwa kuipiga chini dili ya kutumbuiza kwenye harusi ya bilionea, ambayo ingemuingizia zaidi ya sh bilioni 4!

Muimbaji wa Marekani, Taylor Swift anadaiwa kuipiga chini dili ya kutumbuiza nyimbo 3 tu kwenye harusi ya bilionea mmoja, ambayo ingemuingizia dola milioni 2, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 4. Inasemekana kuwa Taylor alifanya uamuzi huo wa kuipotezea dili hiyo ili ahudhurie na kutumbuiza bure kwenye sherehe ya ubatizo wa mtoto wa rafiki yake […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

WHAT YOU DON'T KNOW ABOUT TAYLOR SWIFT


Taylor SwiftTaylor Swift is the biggest star in the music industry right now, judging by the numbers of her best-selling 1989album. While we are well aware of many aspects of T. Swizzle’s life based on her song lyrics, there’s plenty about Taylor Alison Swift that you don’t know. 
Such as…





1. She is super associated with Nashville aka Music City but Swift was born and raised in Pennsylvania first, on a Christmas tree farm. How scenic!
Taylor SwiftPhoto: Dimitrios Kambouris, Getty Images



2. She once won a local talent...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwelekezi wa Taylor Swift atetea video

Mwelekezi wa video ya Wildest Dreams Joseph Kahn amekanusha madai kuwa inaendeleza dhana ya kikoloni kuhusu Afrika.

 

9 years ago

BBC

Taylor Swift director defends video

The director of Taylor Swift's new video defends it following criticisms it depicts a whitewashed version of Africa.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Taylor Swift — Wildest Dreams

Taylor Swift kaachia hii video mpya wimbo unaitwa ‘Wildest Dreams’, wimbo huu unapatikana kwenye Album yake mpya ‘1989’. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mtanzania

Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi

Taylor_SwiftNEW YORK, MAREKANI

MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.

Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.

Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamume mwenye jina sawa na Taylor Swift

Mwanamume mmoja nchini Marekani amekuwa akikabiliwa na wakati mgumu kutokana na kuwa na jina sawa na mwanamuziki Taylor Swift.

 

9 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber na Taylor Swift watawala Twitter

Wanamuziki Justin Bieber na Taylor Swift ndio waliotamba zaidi kwa mazungumzo katika mtandao wa kijamii wa Twitter mwaka 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani