Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIB Development Bank kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuendeleza fukwe za Coco Beach jijini Dar

TIB Development Bank ikishirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya upembuzi yakinifu na kutayarisha michoro kwa ajili ya kuendeleza eneo la ufukweni maarufu kama Coco Beach la jijini Dar es Salaam. 
Mradi huo ujulikanao kama Coco Beach Park utaboresha mazingira na kuongeza vivutio kwenye eneo hilo pendwa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano na wabia mbalimbali na utakuwa unamilikiwa na Manispaa ya Kinondoni. 
TIB Development Bank inashirikiana na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

CHEGE,YP WALIVYOPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR WALIOFURIKA KWA WINGI KWENYE FUKWE YA COCO BEACH

Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Family Chege akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwenye Tamasha la Cheka Bombastik lililoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya wateja wake katika msimu huu wa sikukuu ya pasaka na kufanyika kwa siku mbili mfululizo katika fukwe za bahari ya hindi coco beach. Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Msomi John a.k.a War killer akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika Tamasha la Cheka Bombastik...

 

10 years ago

Michuzi

TIB officially transformed to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited

The Bank of Tanzania (BoT) has issued two licenses to TIB Development Bank Limited and TIB Corporate Finance Limited, which is a designated Commercial Bank subsidiary of the former.
TIB Development Bank Managing Director, Peter Noni told the press yesterday at the 39th Dar es Salaam International Trade Fair that the licenses have been issued by BoT in June 2015 for the Development and Corporate bank to engage in development financing and commercial banking activities respectively. He said TIB...

 

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI BOXING DAY COCO BEACH, JIJINI DAR

Mlevi akiwa amezima mchana kweupee baada ya kunywa pombe kupita kiasi. Mashost wakiwa wanazurula ufukweni. Chegge na Y-p…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA VODACOM BOMBASTIK LAFANA COCO BEACH, JIJINI DAR

Adamu Hamis akifanya makamuzi ya aina yake. Dj Dee Ommy na Dj PQ wakisababisha kwenye moja na mbili. Mashabiki…

 

11 years ago

Michuzi

TIB Development Bank yaunganisha uzalishaji na masoko

TIB inawakaribisha wadau wote kwenye banda lao la katika Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara 77 kuona jinsi gani wamewawezesha wateja wao kuzalisha bidhaa na kutoa huduma bora Kuendana na kauli mbiu ya 77 'Linking production to markets' TIB imefungua mgahawa wa kisasa kabisa ndani ya banda lake la 77 kuonyesha bidhaa za usindikaji na mazao zinazozalishwa na wateja wao kama nyama, kuku, mboga mboga, vinywaji, asali, mikate, chai, kahawa n.k

 

9 years ago

MillardAyo

Coco Beach ikauzwa, barabara mbovu Kinondoni, moto wa Rais Magufuli umemfikia Mkurugenzi Dec 15

Ukikaa karibu na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kumekuwa na ripoti mpya kila wakati na kadri zinavyonifikia na mimi nahakikisha hupitwi hata kidogo. Kama unakumbuka December 03 2015, Rais Magufuli alikutana na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania na moja ya vitu alivyokosoa na kuonekana kukasirishwa navyo sana ilikuwa ishu ya kubinafsishwa kwa ufukwe wa […]

The post Coco Beach ikauzwa, barabara mbovu Kinondoni, moto wa Rais Magufuli umemfikia Mkurugenzi Dec 15 appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

FIRST NATIONAL BANK (FNB) YAFUNGUA TAWI MBEZI BEACH JIJINI DAR

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi tawi la benki ya First National la Mbezi Beach jana jijini Dar es salaam huku akiambatana na Balozi wa Heshima wa Djibouti Said Shamo na Mkuu wa Huduma za Rejareja wa benki hiyo, Francois Botha. Mkuu wa Bidhaa na Huduma za Mitandao, Silvest Arumasi akimpa maelekezo Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda mara baada ya kufungua rasmi tawi la benki ya First National la Mbezi Beach jana jijini Dar es salaam....

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA MANISPAA YA KINONDONI AZINDUA CAMPAIGN YA 'SAY NO TO ABORTION - CHAGUA MAISHA JIJINI DAR

Say no to abortion ni kampeni iliyojidhatiti katika kuelimisha vijana wadogo kuhusiana na hasara za utoaji mimba, mahusiano ya mapenzi mashuleni katika umri mdogo na elimu ya uzazi.
'Utoaji mimba usio katika hali salama, mazingira mazuri na vitendea kazi viivyodhibitishwa hufanyika kila siku katika jamii zetu ingawa serekali na sheria ya nchi yetu hairuhusiwi. 
Tunapoteza nguvu kazi, vijana wa taifa letu' alisema Mkurugenzi wa kampeni hiyo, ndugu Veronica Lugenzi ambayo imezinduliwa rasmi 22...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI

HATIMAE BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMIPosted: 08 Jul 2015 11:54 AM PDTRais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Alli Hassan Mwinyi, akikagua maonyesho ya kazi zinazofanywa na manispaa ya Kinondoni.Mstahiki Meya wa Manispaa ya kinondoni , Yusuph Mwenda akimkabidhi jezi ya timu ya soka ya Kinondoni Municipal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ally Hassan Mwinyi kama ishara ya kuwa mlezi wa timu hiyoRais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Alli Hassan...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani