Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIRST NATIONAL BANK (FNB) YAFUNGUA TAWI MBEZI BEACH JIJINI DAR

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi tawi la benki ya First National la Mbezi Beach jana jijini Dar es salaam huku akiambatana na Balozi wa Heshima wa Djibouti Said Shamo na Mkuu wa Huduma za Rejareja wa benki hiyo, Francois Botha. Mkuu wa Bidhaa na Huduma za Mitandao, Silvest Arumasi akimpa maelekezo Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda mara baada ya kufungua rasmi tawi la benki ya First National la Mbezi Beach jana jijini Dar es salaam....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

FNB yafungua tawi jipya Kariakoo

Katika kukuza na kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakati, Benki ya FNB Tanzania imefungua tawi jipya Kariakoo, Jijini Dar es Salaam ambalo litakuwa na kazi ya kutoa huduma za kibenki kwa watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara wadogo na wa kati.

 

11 years ago

Michuzi

FNB Yafunguwa tawi jipya la Kariakoo,jijini Dar

Mkurugenzi mkuu wa benki ya FNB Tanzania Bw. Dave Aitken akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa tawi jipya la Benki hiyo,lililopo Kariakoo jijini Dar es salaam.kushoto ni Msimamizi wa Masuala ya Athari na Tahadhari wa benki ya FNB Tanzania, Bw. Silvest Arumasi, na kulia ni Afisa Msimamizi Mkuu wa fedha wa benki hiyo, Bw. Luke Woodford.
Katika kukuza na kusaidia wafanya biashara wadogo na wakati benki ya FNB Tanzania imefungua tawi jipya la kariakoo, ambalo...

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar

Mwenyekiti wa bodi wa Resolution Insurance, Richard Kasosola (katikati) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa tawi jipya la Karikoo la kampuni hiyo uliofanyika Dar es Salaam leo.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Oscar Asir na Mkurugenzi wa Utoaji Bima ya Afya wa Kampuni hiyo, Leonard Chacha. Mkurugenzi wa Kampuni Resolution Insurance, Oscar Asir (kushoto) akiwaelekeza mandhali ya ofisi ya tawi jipya la ofisi hiyo iliyopo Lumumba Kariakoo,Mwenyekiti wa bodi wa kampuni hiyo,...

 

10 years ago

Michuzi

NENO LA SHUKURANI KUTOKA KWA FAMILIA YA BWA UWESU MASUMI WA MBEZI BEACH JIJINI DAR

Familia ya  Bw. Uwesu Y.Mssumi wa Mbezi Beach Dar es Salaam inatoa shukurani za dhati kwa ndugu, jamaa, majirani na marafiki kwa   misaada ya hali na mali wakati  na maobolezo na  hatimaye mazishi ya mke wake mpendwa  Mwalimu  Hidaya U. Mssumi  ( mama ya Fatuma, Mwanana, Bibie na Mariam) kilichotokea  tarehe 27 April na kuzikwa tarehe 28 April, 2015.
Shukurani za pekee ziwafikie wanajumuiya wa masjid Akram, Taqwa, Noor  na Fauz  Mbezi Beach, masjid Maamur- Upanga, Dr. Halid Gongoro, Ofisi za...

 

11 years ago

Michuzi

NMB Bank yafungua tawi la Bunge mjini dodoma

 Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akikata utepe kufungua Tawi Jipya la NMB Bank tawi la Bunge,tawi hili lime- funguliwa katika viwanja vya Bunge leo Mchana.Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mku wa NMB,Bw.Mark Wiessing.  Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akifungua pazia la jiwe la msingi kuashiria kufungua Tawi Jipya la NMB Bank tawi la Bunge.Tawi hili lililo funguliwa katika viwanja vya Bunge leo Mchana,anaye piga makofi  ni Afisa Mtendaji Mku wa NMB,Bw.Mark Wiessing.  Jengo la NMB Bunge.

 

10 years ago

Michuzi

Diamond Trust Bank Tanzania yafungua tawi la 21 - Mkoani Mtwara

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Diamond Trust Bank (DTB), Bw. Abdul Samji, akisaidiana kukata utepe na Meya wa Jiji la Mtwara, Mhe. Seleman Mtalika, wakati wakizindua tawi jipya la benki hio jijini Mtwara. DTB kwa sasa ina matawi 21 nchi nzima, na inapanga kufungua matawi mengine manne (4) kwaka 2015, kuongeza nguvu kwa mtandao wake kwa miji ya Mwanza na Dar es Salaam.
========  =======  =======

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Diamond Trust Bank Tanzania Limited (DTBT), Abdul Samji,...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom yaendelea kusogeza huduma karibu na wateja wake, yazindua duka jipya la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam

 Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania Plc, George Lugata akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom mara baada ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa lililopo Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar Es Salaam leo Msimamizi wa duka jipya la Vodacom Mbezi Beach chini kwa Zena jijini Dar es salaam, Devota Kijogoo akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa duka hilo. Mkuu wa Kitengo cha Mauzo, Usambazaji ,Maduka na Huduma kwa Wateja...

 

11 years ago

Michuzi

TIB Development Bank kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuendeleza fukwe za Coco Beach jijini Dar

TIB Development Bank ikishirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya upembuzi yakinifu na kutayarisha michoro kwa ajili ya kuendeleza eneo la ufukweni maarufu kama Coco Beach la jijini Dar es Salaam. 
Mradi huo ujulikanao kama Coco Beach Park utaboresha mazingira na kuongeza vivutio kwenye eneo hilo pendwa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano na wabia mbalimbali na utakuwa unamilikiwa na Manispaa ya Kinondoni. 
TIB Development Bank inashirikiana na...

 

9 years ago

Michuzi

FNB STAFF JOINS COCO BEACH VENDORS FOR A BEACH CLEAN UP TO MARK UHURU DAY

The First National Bank employees taking part in cleaning Coco Beach yesterday following Presidents John Magufuli's "call to clean" announcement in celebration of Independence Day. The bank provided a generous support to Coco Beach Action Group who initiated an event named Coco Beach Usafi Tu and its employees joined the group and beach vendors to cleanup coco beach area marking as part of Uhuru Day celebrations. (Photo: Our Staff Photographer)Following Presidents’ call to cleaning...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani