FNB Yafunguwa tawi jipya la Kariakoo,jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-hJze2TkuxIo/U328vnMESuI/AAAAAAAFkbQ/8ZeHDrbLHGU/s72-c/unnamedm.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa benki ya FNB Tanzania Bw. Dave Aitken akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa tawi jipya la Benki hiyo,lililopo Kariakoo jijini Dar es salaam.kushoto ni Msimamizi wa Masuala ya Athari na Tahadhari wa benki ya FNB Tanzania, Bw. Silvest Arumasi, na kulia ni Afisa Msimamizi Mkuu wa fedha wa benki hiyo, Bw. Luke Woodford.
Katika kukuza na kusaidia wafanya biashara wadogo na wakati benki ya FNB Tanzania imefungua tawi jipya la kariakoo, ambalo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
FNB yafungua tawi jipya Kariakoo
10 years ago
MichuziKampuni Resolution Insurance yafungua tawi jipya Kariakoo,jijini Dar
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
FNB yazindua tawi jipya Kimweri
FIRST National Bank Tanzania (FNB), imezindua rasmi tawi jipya la Kimweri Msasani jijini Dar as Salaam ikiwa ni sehemu ya kusogeza huduma zake karibu na wateja na kuboresha sekta ya...
9 years ago
MichuziFIRST NATIONAL BANK (FNB) YAFUNGUA TAWI MBEZI BEACH JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’
Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.
Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...
10 years ago
Vijimambo10 Apr
TPB wazinduwa Tawi jipya Kimara Mwisho Dar es Salaam
![Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya hafla ya uzinduzi wa tawi dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0394.jpg)
![Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB), Profesa Lettice Rutashobya (kulia) akimkabidhi kadi ya TPB mteja wa kwanza kuhudumiwa katika tawi jipya dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0384.jpg)
![Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi (kulia) akimpongeza mteja wa kwanza kuhudumiwa katika tawi jipya dogo la Benki hiyo lililopo Kimara Mwisho jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0385.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kBppvdpLRFg/VPYFABJ4emI/AAAAAAAAIh8/HeU_lsfVw3Y/s72-c/20150302_145845_resized.jpg)
TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services yazindua tawi lake jipya wilayani Kwimba jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-kBppvdpLRFg/VPYFABJ4emI/AAAAAAAAIh8/HeU_lsfVw3Y/s1600/20150302_145845_resized.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8CAtGU8xphs/VMpcJQmW-MI/AAAAAAAHAOI/onMrqY4AJe0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
FNB KATIKA MAONESHO YA ZANA ZA KILIMO 'AGRI BUSINESS EAST AFRICA' JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-8CAtGU8xphs/VMpcJQmW-MI/AAAAAAAHAOI/onMrqY4AJe0/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8mxIt0kQVpw/UxR05KjDFjI/AAAAAAAFQyQ/4M6q8iOOU88/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...