Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEGE,YP WALIVYOPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR WALIOFURIKA KWA WINGI KWENYE FUKWE YA COCO BEACH

Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Family Chege akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwenye Tamasha la Cheka Bombastik lililoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya wateja wake katika msimu huu wa sikukuu ya pasaka na kufanyika kwa siku mbili mfululizo katika fukwe za bahari ya hindi coco beach. Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Msomi John a.k.a War killer akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika Tamasha la Cheka Bombastik...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo

 Sehemu ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo, ikiwa ni sehemu ya kuisherehekea sikumbuki ya Eid El Fitr.  Wengi hupenda kwenda sehemu ya namna hii kwa ajili ya kupunga upepo mwanana wa Bahari. 

 

11 years ago

Michuzi

TIB Development Bank kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuendeleza fukwe za Coco Beach jijini Dar

TIB Development Bank ikishirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imefanya upembuzi yakinifu na kutayarisha michoro kwa ajili ya kuendeleza eneo la ufukweni maarufu kama Coco Beach la jijini Dar es Salaam. 
Mradi huo ujulikanao kama Coco Beach Park utaboresha mazingira na kuongeza vivutio kwenye eneo hilo pendwa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano na wabia mbalimbali na utakuwa unamilikiwa na Manispaa ya Kinondoni. 
TIB Development Bank inashirikiana na...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA JIJI LA DAR WAJITOKEZA KWA WINGI KUSHIRIKI SHINDANO LA TMT 2015

   Baadhi ya wafanyakazi wa TMT wakiwahudumia watanzania waliojitokeza kwaajili ya kushiriki shindano la TMT 2015 kwa furaha
Baadhi ya washiriki wakisubiria kuingia kwa majaji tayari kwa kuonyesha uwezo wao wa kuigiza
Baadhi ya vijana waliojitokeza kwaajili ya usajili wa kushiriki shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 mpakakieleweke wakisikiliza maelekezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Proin...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA DAR WALIVYOSHEREHEKEA SIKUKUU, COCO BEACH

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar wakiwa katika ufukwe wa Coco Beach. Taswira ya ufukweni.
Ufukwe wa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakazi wa Jiji la Dar Wajitokeza kwa wingi kushiriki Shindano la TMT 2015 #mpakakieleweke

 

Baadhi ya wafanyakazi wa TMT wakiwahudumia watanzania waliojitokeza kwaajili ya kushiriki shindano la TMT 2015 kwa furaha.

Baadhi ya washiriki wakisubiria kuingia kwa majaji tayari kwa kuonyesha uwezo wao wa kuigiza.

_E9A5577

Baadhi ya vijana waliojitokeza kwaajili ya usajili wa kushiriki shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #mpakakieleweke wakisikiliza maelekezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao ni waendeshaji wa shindano hilo katika viwanja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chege, Mh. Temba wafunika Coco Beach

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wasanii Chege Chigunda ‘Mtoto wa Mama Saidi’ na Mhe. Temba, wametoa burudani ya aina yake kwa wapenzi na mashabiki wa muziki katika tamasha maalumu la...

 

11 years ago

GPL

CHEGE,YP WAWASHA MOTO COCO BEACH

Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Msomi John a.k.a War killer akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika Tamasha la Cheka Bombastik lililoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya wateja wake katika msimu huu wa sikukuu ya pasaka na kufanyika kwa siku mbili mfululizo katika fukwe za bahari ya hindi coco beach. Mwanaidi Jumanne akiwa kwenye Swagga la ukweli la pasaka katika Tamasha la Cheka Bombastik...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo

KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....

 

11 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF

p2Bw Aloyce Ntukamazina Meneja Masoko kutoka katika Mfuko wa GEPF akifafanua jambo kuhusu  mafao yatolewayo na Mfuko wa GEPF katika maonesho ya wakulima ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Themi Njiro, Arusha.p1Mwanachama mpya akipata maelekezo ya namna ya kujiunga na Mfuko wa GEPF kutoka kwa Afisa wa GEPF Bi Jane Rutashobya katika maonesho ya wakulima ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Themi Njiro, Arushap4Afisa Masoko Clement Oningo akitoa maelezo kuhusu shughuli za Mfuko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani