CHEGE,YP WALIVYOPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR WALIOFURIKA KWA WINGI KWENYE FUKWE YA COCO BEACH
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oid6DtJJt4w/U1TUbQq1LwI/AAAAAAAFcGU/4a3sKWzwMtk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya wa kundi la TMK Family Chege akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwenye Tamasha la Cheka Bombastik lililoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya wateja wake katika msimu huu wa sikukuu ya pasaka na kufanyika kwa siku mbili mfululizo katika fukwe za bahari ya hindi coco beach.
Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Msomi John a.k.a War killer akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika Tamasha la Cheka Bombastik...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Xpoy3rjWfyQ/Vap8tvdwQhI/AAAAAAAAtWg/fkdOtMpxroQ/s72-c/IMG-20150718-WA0017.jpg)
Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xpoy3rjWfyQ/Vap8tvdwQhI/AAAAAAAAtWg/fkdOtMpxroQ/s640/IMG-20150718-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K50T5vJFsI8/Vap8x_uJrqI/AAAAAAAAtWo/YPMnjM1_UUE/s640/IMG-20150718-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5naOI7_jG8/Vap82E15saI/AAAAAAAAtWw/OHpUL_vgubU/s640/IMG-20150718-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-46qsCQBwD3Q/Vap82-kIG_I/AAAAAAAAtW4/KZjJf6IIc6U/s640/IMG-20150718-WA0015.jpg)
11 years ago
MichuziTIB Development Bank kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuendeleza fukwe za Coco Beach jijini Dar
Mradi huo ujulikanao kama Coco Beach Park utaboresha mazingira na kuongeza vivutio kwenye eneo hilo pendwa kwa wakazi wa Dar es Salaam. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano na wabia mbalimbali na utakuwa unamilikiwa na Manispaa ya Kinondoni.
TIB Development Bank inashirikiana na...
10 years ago
GPLWAKAZI WA JIJI LA DAR WAJITOKEZA KWA WINGI KUSHIRIKI SHINDANO LA TMT 2015
10 years ago
GPLWAKAZI WA DAR WALIVYOSHEREHEKEA SIKUKUU, COCO BEACH
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Wakazi wa Jiji la Dar Wajitokeza kwa wingi kushiriki Shindano la TMT 2015 #mpakakieleweke
Baadhi ya wafanyakazi wa TMT wakiwahudumia watanzania waliojitokeza kwaajili ya kushiriki shindano la TMT 2015 kwa furaha.
Baadhi ya washiriki wakisubiria kuingia kwa majaji tayari kwa kuonyesha uwezo wao wa kuigiza.
Baadhi ya vijana waliojitokeza kwaajili ya usajili wa kushiriki shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #mpakakieleweke wakisikiliza maelekezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao ni waendeshaji wa shindano hilo katika viwanja...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Chege, Mh. Temba wafunika Coco Beach
KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wasanii Chege Chigunda ‘Mtoto wa Mama Saidi’ na Mhe. Temba, wametoa burudani ya aina yake kwa wapenzi na mashabiki wa muziki katika tamasha maalumu la...
11 years ago
GPLCHEGE,YP WAWASHA MOTO COCO BEACH
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Madee, Chege kupagawisha mashabiki Coco Beach leo
KAMPUNI ya Vodacom imeandaa tamasha kwa wateja na mashabiki wa muziki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii mahiri kimuziki, Ahmad Ally ‘Madee’ na Juma Said ‘Chege’....
11 years ago
Michuzi08 Aug
WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF
![p2](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p2.jpg?w=627&h=419)
![p1](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p1.jpg?w=627&h=419)
![p4](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p4.jpg?w=627&h=419)