WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF
Bw Aloyce Ntukamazina Meneja Masoko kutoka katika Mfuko wa GEPF akifafanua jambo kuhusu mafao yatolewayo na Mfuko wa GEPF katika maonesho ya wakulima ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Themi Njiro, Arusha.
Mwanachama mpya akipata maelekezo ya namna ya kujiunga na Mfuko wa GEPF kutoka kwa Afisa wa GEPF Bi Jane Rutashobya katika maonesho ya wakulima ya nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Themi Njiro, Arusha
Afisa Masoko Clement Oningo akitoa maelezo kuhusu shughuli za Mfuko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eMh7a7DYeKg/VJMSesok6uI/AAAAAAAG4Rk/N9XlMbAiH3Q/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
BANDA LA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU GEPF KWENYE MAONYESHO YA ELIMU YA KIMATAIFA LAVUTIA WENGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eMh7a7DYeKg/VJMSesok6uI/AAAAAAAG4Rk/N9XlMbAiH3Q/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w5aeI-ryfnw/VJMSeozKYeI/AAAAAAAG4Ro/DK0HUmDv2b8/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
MichuziMAAFISA RASILIMALI WATU TOKA WILAYA YA ILALA WAGUSWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA GEPF
10 years ago
GPLWAKAZI WA JIJI LA DAR WAJITOKEZA KWA WINGI KUSHIRIKI SHINDANO LA TMT 2015
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Wakazi wa Jiji la Dar Wajitokeza kwa wingi kushiriki Shindano la TMT 2015 #mpakakieleweke
Baadhi ya wafanyakazi wa TMT wakiwahudumia watanzania waliojitokeza kwaajili ya kushiriki shindano la TMT 2015 kwa furaha.
Baadhi ya washiriki wakisubiria kuingia kwa majaji tayari kwa kuonyesha uwezo wao wa kuigiza.
Baadhi ya vijana waliojitokeza kwaajili ya usajili wa kushiriki shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 #mpakakieleweke wakisikiliza maelekezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao ni waendeshaji wa shindano hilo katika viwanja...
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...
9 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA, MADUKA YAFUNGWA KUAJILI YA UCHAGUZI
Hapa ni eneo la Mwanjelwa maharufu kwa Jina la Mtaa wa kongo likiwa Pweke kuajili ya uchaguzi hakuna alie leta Biashara yake hapa siku hii ya leo.
Baadhii ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Oid6DtJJt4w/U1TUbQq1LwI/AAAAAAAFcGU/4a3sKWzwMtk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
CHEGE,YP WALIVYOPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA DAR WALIOFURIKA KWA WINGI KWENYE FUKWE YA COCO BEACH
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oid6DtJJt4w/U1TUbQq1LwI/AAAAAAAFcGU/4a3sKWzwMtk/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZK-PWqvmq8k/U1TUZnURJvI/AAAAAAAFcGI/hGMsYZ0GWmo/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
GPLWENGI WAVUTIWA NA HUDUMA ZITOLEWAZO NA MFUKO WA GEPF NA KUJIUNGA KATIKA MPANGO WA HIARI WA KUJIWEKEA AKIBA